technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Ndio maendeleo mnayotaka kuleta kwa kuzalilishana majukwaani kiasi hiki tena mbele ya mgombea Urais wenu.
Na yeye anabariku huu uhuni wa wanawake kufanyiwa uhuni na wanaume mbele ya hadhara?.
Na yeye anabariku huu uhuni wa wanawake kufanyiwa uhuni na wanaume mbele ya hadhara?.