CCM hawatoki madaraki 2015 -2020 hata ikibidi kuuwa raia kwa silaha

Wachagga ni watu wa kushindwa tu. tatizo lao wana ubinafsi sana. Hawana malengo ya kuendeleza nchi. Wao mawazo yao ni kuendeleza uchagani tu. ndo maana hawataki kutumia mashine za EFD ili serikali isikusanye kodi ambayo inaweza kutumia kuendeleza maendeleo ya nchi
tangu uhuru, kiongozi mmoja tu ambaye alikuwa na uchungu na taifa letu, naye ni nyerere, wengine wote waliofuata na ni wachumia tumbo tu kama wengine.
 
Ccm haiwezi toka madarakani bila damu kumwagika kamwe. Hata watanzania wote wakaikataa ccm kwenye sanduku la kura, bado wataapishwa na kuendelea kuongoza taifa hili. Mfano tumeona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, walioshindwa ndo wameenda kuapishwa!
 
Ccm haiwezi toka madarakani bila damu kumwagika kamwe. Hata watanzania wote wakaikataa ccm kwenye sanduku la kura, bado wataapishwa na kuendelea kuongoza taifa hili. Mfano tumeona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, walioshindwa ndo wameenda kuapishwa!

Woga wako ndio umasikini wako na hichi ndicho wanachojivunia ccm weshajua mnaishi kwa woga na kutojiamini october kapige kura yako wanaume wakae pembeni mpaka hatua ya mwisho kulinda kura halafu muone kama watachomoka janja yao tushaijua na niwahakikishie waliolala katika vuguvugu la siasa tupo dar lakini nenda mikoani ndio wanamwamko moto kama cheche usilinganishe uchaguzi serikali za mitaa na uchaguzi mkuu na hakuna uchaguzibambao utakuwa mgumu na utakaomulikwa na tochi kama wa mwaka huu kama mbwai na iwe mbwai ccm hakuna rangi hawataiona.
 
acha uchochezi wewe CCM ni ya watanzania na imechaguliwa na watanzania kwa ajili ya watanzania. Hakuna jambo gumu hapo kuelewa
 
CCM ni chama cha siasa kinachomiliki taasisi zote nyeti za dola. Kwa taarifa yako tu, ikiwa utatizama kiju juu utaona tz kuna demokraisa, lakini ukingia deep zaidi utaona CCCM bado inaendesha siasa za kikomunist, yaani serikali inaendeshwa na chama cha siasa. tz bado hatujafanikiwa kutenganisha serikali na chama siasa.

kwahivo, kushinda au kushindwa katika harakati za uchaguzi usiokuwa huru, haitegemei idadi ya wanachama au ya idadi ya raia.

nakuomba ujiulize, masuala machache tu,msajili wa vyama vya siasa ni nani? ikiwa hujui ni CCM, wanaotangaza mshindi wa uraisi ni nani? CCM, anaoweka sheria za uchaguzi ni nani? CCM au chadema ndio wanaoweka sheria za uchaguzi? wanaoruhusu maandamano ya vyama vya upinzani ni nani? CCM, mkuu upo na mimi lakini?

kwahivo ni vipi katika system ambayo haiko huru chama chengine cha siasa kishinde katika uchaguzi wa raisi, usidanganywe na ushindi wa wabunge, muhimu ni raisi sio wabunge. ccm wanawachia tu wapinzani washinde katik auchaguzi wa wabunge ili kuonekane tz kun ademokrasia, ushindi wa wabunge wa vyama vya upinzani ni mchezo wa kuigiza tu

sijui sasa umeanza kuwafahamu ccm, ikiwa bado sema tu

Hayo yote yana mwisho mdau soma hustoria ya nchi ya Kenya na KANU yake halafu uje utoe mrejesho hapa chini ya ardhi hakuna kinachoshindikana na kila kitu na wakati wake.
 
acha uchochezi wewe CCM ni ya watanzania na imechaguliwa na watanzania kwa ajili ya watanzania. Hakuna jambo gumu hapo kuelewa

Mwogope Mungu wewe jua kali na ndio maana sasa hivi mnaumbuka kama wale wakiojenga mnara wa Babeli kwa sasa hamwezi ongea lugha moja tena zaidi ya unafiki amini hivyo.
 
Wachagga ni watu wa kushindwa tu. tatizo lao wana ubinafsi sana. Hawana malengo ya kuendeleza nchi. Wao mawazo yao ni kuendeleza uchagani tu. ndo maana hawataki kutumia mashine za EFD ili serikali isikusanye kodi ambayo inaweza kutumia kuendeleza maendeleo ya nchi

Huwa unasema kama mlevi na mpenda utani ila hili wanahitaji kutafakari maana wengi wanawanung'unikia
 
Mwogope Mungu wewe jua kali na ndio maana sasa hivi mnaumbuka kama wale wakiojenga mnara wa Babeli kwa sasa hamwezi ongea lugha moja tena zaidi ya unafiki amini hivyo.

ni lazima tuseme ukweli kwanini mdanganye watu, CCM kushinda uchaguzi 2015 ni jambo lisilokuwa na shaka ndani yake, nanyi mnatambua hilo ndio maana mnakipaka matope chama kilichoijenga nchi hii. Wewe mwenyewe hapo unatambua hilo ni unafiki tu uliofundishwa na wasaka tonge ndio unakusumbua. Nchi hii inafuata mfumo wa kidemokrasia sisi wananchi tutamchagua tunayemtaka, nyinyi kiherehere cha nini tulieni hatutaki matatizo. Msitulazimishe kufuata mawazo yenu
 
Huo ni mtazamo wako tu! Lakini nguvu ya umma ikiamua hata kesho asubuhi CCM wataachia madaraka tu. Wananchi ndio watakaoamua na wala siyo watawala! By the way ni nani aliyekudanganya kuwa jeshi, polisi, bank kuu na usalama wa taifa ni mali ya CCM??? Kazi kweli kweli!!


iv nawe kumbe una utando ndan ya ubongo?
________________
subir nijenge hoja kwenye hoja yako.

1.Mkuu wa jesh la polis anateuliwa na nani?

2.mkurugenz mkuu wa usalama wa taifa anateuliwa na nani?

3.Gavana wa benki kuu anateuliwa na nani?

___a,je;wanaapishwa na nan?
___b,je; hao wanaoapishwa {tafsir isiyo rasm} kwa uhalisia wanakuwa watiifu kwa nani?
___c.je;huyo anayewaapisha ni wa chama gani?
___d.je,umesahau mkuu wa jesh la polis <MAITA> na zengwe la CUF?
___e.je,umesahau sakata la escrow na agizo la IKULU kwa BoT?
============
naomba majibu, na kama nitakuwa nimekosea ktk hoja zangu, naomba pia kurekebishwa kwa ufahamu zaid.
 
nami pia natabir, nguvu kubwa ikiambatana na mauaji itatumika kuakikisha ccm inabakia madarakani. HIL HALINA SHAKA.
 
OGopa wanaume 100 wakiamua kuleta mageuzi muulize GADAF WA LIBYA NAE ALIWaibia WALIBYA YUKO WAPI.
 
Ukiitwa mchochezi utakataa? Mbona hujataja wachaga ambao licha ya wao kuwa wengi katika nafasi nyeti za utumishi pamoja na biashara bad nchi yet in masikini?

Changia mada iliyopo jukwaani hao wachaga wanaingiaje hapo?
 
Ccm haiwezi kutoka kiulaini ikulu! Huo ndo ukweli anayebisha ana lake jambo! Wapinzani wafanye kazi sio kulialia kwenye vyombo vya habari kila siku.
 
Ccm haiwezi toka madarakani bila damu kumwagika kamwe. Hata watanzania wote wakaikataa ccm kwenye sanduku la kura, bado wataapishwa na kuendelea kuongoza taifa hili. Mfano tumeona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, walioshindwa ndo wameenda kuapishwa!

Acha nidhamu ya woga.
 
Back
Top Bottom