CCM hatimaye arubaini zake zimekaribia

CCM hatimaye arubaini zake zimekaribia

Kuboma

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
1,466
Reaction score
2,579
Nasema hivi nikiwa hai,kwa mwenye akili anajua kabisa watu wanaenda kutema nyongo zao,
Yaani ukweli wa uovu wao CCM sasa uanenda kuanikwa kweupe.Watu wanaenda kuungana kwa waziwazi kuanzia Viongozi wa dini mpaka mtu wa mwisho kabisa ambaye ni mkulima kwa ajili ya kulikabili hili dubwana, maana siku zote walikuwa wanatuzulumu kura zetu kwa viini macho sasa term hii hatuendi kupiga kura kabisa unafikili kutatokea nini?
Naiona inchi yangu inaenda kusambaratika,simuoni mtu atakayewe kutuliza hii taharuki,tena kuanzia makanisani,misikitini,vyuoni makazini na kila sehemu
Yajayo yanatisha
Kama sisi wameshindwa kubadilisha katiba kwa amani inchi inaenda kuacha doa kubwa kabisa sizani mama yangu samia kama ataweze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom