CCM haiwezi kukubaliwa na watanzania kwa kuzuia vyama wengine!

CCM haiwezi kukubaliwa na watanzania kwa kuzuia vyama wengine!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
CCM haiwezi kukubaliwa na watanzania kwa kuzuia vyama wengine!. Yaani kuzuia Chadema kufanya mikutano yao haina maana hao watu na wanachama wao kesho watashangilia au kuhamia CCM.

Huwezi kufanikiwa kwa lolote kwa kumzuia mwenzako badala yake fanya mazuri yako. Sasa sera ya CCM ni kuzuia Chadema hawataweza kufanikiwa.

Hilo ni kujidanganya na Chadema wanaendelea kukubalika wanazidi kuonekama wazalendo zaidi kwa wananchi bila hata mikutano maana watanzania wa siku hizi ni waelewa
 
CM haiwezi kukubaliwa na watanzania kwa kuzuia vyama wengine!. Yaani kuzuia Chadema kufanya mikutano yao haina maana hao watu na wanachama wao kesho watashangilia au kuhamia CCM. Huwezi kufanikiwa kwa lolote kwa kumzuia mwenzako badala yake fanya mazuri yako. Sasa sera ya CCM ni kuzuia Chadema hawataweza kufanikiwa. Hilo ni kujidanganya na Chadema wanaendelea kukubalika wanazidi kuonekama wazalendo zaidi kwa wananchi bila hata mikutano maana watanzania wa siku hizi ni waelewa
Imani, matumaini, uaminifu na mapenzi ya mamilioni ya waTanzania kwa Chama Cha Mapinduzi CCM ni ya kudumu na yasiyo na mashaka yoyote ile.
CCM itaongoza, itatawala na kuwaletea maendeleo ya waTanzania kwa miaka mingi sana gentleman.

hakuna mamaluki au kibaraka atapata nafasi kuongoza Tanzania
 
Back
Top Bottom