Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Tembelea vijiwe vyote, iwe ni baa, kwa mama ntilie, kwa wavuvi hata kwq mafundi viatu utapata huu ukweli.
CCM haikubaliki, kila kundi la watanzania haliridhiki na namna CCM inqvyowatumikia tangu tumepata uhuru.
Watu hawana uhakika hata wa mlo mmoja! Kundi la machawa na wanaCCM wachache ndio wanafaidi matunda ya taifa hili. Maisha duni kabisa tangu tupate uhuru zaidi ya miaka 60.
Watu wanaikubali CHADEMA ya Lissu maana haipo kibiashara na kujaza matumbo na ina muelekeo wa kuleta mabadiliko kwa Watanzania. Kwa ujumla wanaikubali watanzania 70%.
CCM haikubaliki, kila kundi la watanzania haliridhiki na namna CCM inqvyowatumikia tangu tumepata uhuru.
Watu hawana uhakika hata wa mlo mmoja! Kundi la machawa na wanaCCM wachache ndio wanafaidi matunda ya taifa hili. Maisha duni kabisa tangu tupate uhuru zaidi ya miaka 60.
Watu wanaikubali CHADEMA ya Lissu maana haipo kibiashara na kujaza matumbo na ina muelekeo wa kuleta mabadiliko kwa Watanzania. Kwa ujumla wanaikubali watanzania 70%.