CCM haiombi mtu kuhudhuria mikutano yake

CCM haiombi mtu kuhudhuria mikutano yake

Joined
Sep 4, 2025
Posts
6
Reaction score
5
Ukweli ni kwamba huwezi kumlazimisha mtu asiyetaka kuja kwenye mkutano. Hata umpe usafiri, kama hataki, hataki.

Vilevile, mikutano ya CCM imekuwa ikihudhuriwa na maelfu ya wananchi. Sasa kama basi moja linabeba watu 65, je, utahitaji mabasi mangapi kuwasomba maelfu ya watu? Hilo haliwezekani.

‎Ukweli ni kwamba CCM ni chama kinachopendwa na wananchi wengi, na hiyo ndiyo sababu mikutano yake inajaa bila kulazimishwa.

‎Huwezi kufunja imani na mapenzi ya wananchi kwa CCM, kwani chama hiki kimejikita kwenye
mioyo yao
 
Ukweli ni kwamba huwezi kumlazimisha mtu asiyetaka kuja kwenye mkutano. Hata umpe usafiri, kama hataki, hataki.

Vilevile, mikutano ya CCM imekuwa ikihudhuriwa na maelfu ya wananchi. Sasa kama basi moja linabeba watu 65, je, utahitaji mabasi mangapi kuwasomba maelfu ya watu? Hilo haliwezekani.

‎Ukweli ni kwamba CCM ni chama kinachopendwa na wananchi wengi, na hiyo ndiyo sababu mikutano yake inajaa bila kulazimishwa.

‎Huwezi kufunja imani na mapenzi ya wananchi kwa CCM, kwani chama hiki kimejikita kwenye
mioyo yao
takataka lingine limejiunga jana! takataka
 
Mjuba uachage ujinga, ina maana hukumsikia mgombea urais wenu jana aliposema kuhusu kujaza nyomi kwa magari?
 
Sio tu kuwasomba watu kwa usafiri, na posho juu huwa mnawapa!.
Sambamba na kualika wasanii wengi watoe show za bure ili watu (hapa hasa watoto wa shule primary & sec) waje kwa wingi kwenye mikutano lengo kuu likiwa kuuaminisha umma eti sa100 anakubalika!!.
Ccm ya sasa haina mahaba na raia imebakiwa na propaganda tuu
 
Case closed.
Screenshot_20250906_095019.png
 
Ukweli ni kwamba huwezi kumlazimisha mtu asiyetaka kuja kwenye mkutano. Hata umpe usafiri, kama hataki, hataki.

Vilevile, mikutano ya CCM imekuwa ikihudhuriwa na maelfu ya wananchi. Sasa kama basi moja linabeba watu 65, je, utahitaji mabasi mangapi kuwasomba maelfu ya watu? Hilo haliwezekani.

‎Ukweli ni kwamba CCM ni chama kinachopendwa na wananchi wengi, na hiyo ndiyo sababu mikutano yake inajaa bila kulazimishwa.

‎Huwezi kufunja imani na mapenzi ya wananchi kwa CCM, kwani chama hiki kimejikita kwenye
mioyo yao
CCm kinapendwa ila kinaogopa Uchaguzi Huru na wa Haki, Bila kumfunga TAL msingetoboa mwaka huu!
 
Ukweli ni kwamba huwezi kumlazimisha mtu asiyetaka kuja kwenye mkutano. Hata umpe usafiri, kama hataki, hataki.

Vilevile, mikutano ya CCM imekuwa ikihudhuriwa na maelfu ya wananchi. Sasa kama basi moja linabeba watu 65, je, utahitaji mabasi mangapi kuwasomba maelfu ya watu? Hilo haliwezekani.

‎Ukweli ni kwamba CCM ni chama kinachopendwa na wananchi wengi, na hiyo ndiyo sababu mikutano yake inajaa bila kulazimishwa.

‎Huwezi kufunja imani na mapenzi ya wananchi kwa CCM, kwani chama hiki kimejikita kwenye
mioyo yao
HAIOMBI INATULAZIMISHA.

NI LAZIMA WATUMISHI NA WANACCM KUHUDHURIA VIKAO VYAO.

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba huwezi kumlazimisha mtu asiyetaka kuja kwenye mkutano. Hata umpe usafiri, kama hataki, hataki.

Vilevile, mikutano ya CCM imekuwa ikihudhuriwa na maelfu ya wananchi. Sasa kama basi moja linabeba watu 65, je, utahitaji mabasi mangapi kuwasomba maelfu ya watu? Hilo haliwezekani.

‎Ukweli ni kwamba CCM ni chama kinachopendwa na wananchi wengi, na hiyo ndiyo sababu mikutano yake inajaa bila kulazimishwa.

‎Huwezi kufunja imani na mapenzi ya wananchi kwa CCM, kwani chama hiki kimejikita kwenye
mioyo yao
Another new wasted sperm member
 
Ukweli ni kwamba huwezi kumlazimisha mtu asiyetaka kuja kwenye mkutano. Hata umpe usafiri, kama hataki, hataki.

Vilevile, mikutano ya CCM imekuwa ikihudhuriwa na maelfu ya wananchi. Sasa kama basi moja linabeba watu 65, je, utahitaji mabasi mangapi kuwasomba maelfu ya watu? Hilo haliwezekani.

‎Ukweli ni kwamba CCM ni chama kinachopendwa na wananchi wengi, na hiyo ndiyo sababu mikutano yake inajaa bila kulazimishwa.

‎Huwezi kufunja imani na mapenzi ya wananchi kwa CCM, kwani chama hiki kimejikita kwenye
mioyo yao
Okey
 
Back
Top Bottom