CCM haina tena imani na Watanzania

CCM haina tena imani na Watanzania

CCM imekuwa ya kufunga ofisi na makufuli na watendaji kukimbia ofisi. Na bado watateseka sana
 
Ccm haina imani na watanzania...pia watanzania hawana imani na ccm
 
Majigambo yote yale lakini inakuwaje wanaogopa Uchaguzi!?
Yaani hata mimi sikutegemea CCM safari hii wamekuwa waoga hivi yaani tuvyama twa upinzani vitatu vinawatoa jasho na hapo walinyima hata kufanya kampeni na mikutano ndio utakavyochoka.Si mtaani kwetu ingekuwa Enzi za kusimamisha nyundo na mtu wangechagua nyundo kweli watu wamechoka mpaka basi
 
CCM haiamini tena kama kuna watanzania wa kutosha watakaopiga kura kwenye uchaguzi wowote ule na kukichagua chama hicho.

Vitendo vya kupora Fomu za wagombea wa vyama vingine, kufunga Ofisi ili fomu zilizochukuliwa zisirudishwe, kuzuia wagombea wa vyama vingine kuchukua fomu, na kuruhusu kila aina ya uhuni kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa ni dalili kwamba CCM haina Imani tena ya kuchaguliwa na watanzania kwenye uchaguzi ulio huru.

Kama CCM ingekuwa ina imani kwamba watanzania wataichagua bila ya shaka hizi sarakasi zote tunazoziona zisingekuwepo.

KIZA KINAPOKUWA KINENE NDIPO KUNAPOKARIBIA KUCHA!!
Taarifa za uhakika ni kwamba polisi nao wako mbioni kuikana , watabaki na wasiojulikana wasiofika hata 200 .
 
Vyama upinzani vije na mkakati tuwaelewe sio kutulilia kwenye mitandao
 
Kila chenye mwanzo, Hakikosi kuwa na mwisho. Haijalishi ni mwisho wa aina gani. Hao wanaojiona ni bora zaidi watafika mwisho wala hakuna atakaewakumbuka. Watasahaulika kabisa. Manung'uniko ya watu yakiwa mengi sana hugeuka kuwa laana. Wenye hekima hujihadhari na kujiepusha na manung'uniko kwao.
Kweli.kabisa na wajue siku watamtoa mbowe na maalimu sef kwenye ulingo wa siasa wajue hali ya Tanzania itakuwa mbaya Sana manake ndio wanaowapoza wananchi kuwa na na aman
 
B
CCM haiamini tena kama kuna watanzania wa kutosha watakaopiga kura kwenye uchaguzi wowote ule na kukichagua chama hicho.

Vitendo vya kupora Fomu za wagombea wa vyama vingine, kufunga Ofisi ili fomu zilizochukuliwa zisirudishwe, kuzuia wagombea wa vyama vingine kuchukua fomu, na kuruhusu kila aina ya uhuni kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa ni dalili kwamba CCM haina Imani tena ya kuchaguliwa na watanzania kwenye uchaguzi ulio huru.

Kama CCM ingekuwa ina imani kwamba watanzania wataichagua bila ya shaka hizi sarakasi zote tunazoziona zisingekuwepo.

KIZA KINAPOKUWA KINENE NDIPO KUNAPOKARIBIA KUCHA!!
Bila uhuni CCM hawawezi kushinda
 
CCM haiamini tena kama kuna watanzania wa kutosha watakaopiga kura kwenye uchaguzi wowote ule na kukichagua chama hicho.

Vitendo vya kupora Fomu za wagombea wa vyama vingine, kufunga Ofisi ili fomu zilizochukuliwa zisirudishwe, kuzuia wagombea wa vyama vingine kuchukua fomu, na kuruhusu kila aina ya uhuni kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa ni dalili kwamba CCM haina Imani tena ya kuchaguliwa na watanzania kwenye uchaguzi ulio huru.

Kama CCM ingekuwa ina imani kwamba watanzania wataichagua bila ya shaka hizi sarakasi zote tunazoziona zisingekuwepo.

KIZA KINAPOKUWA KINENE NDIPO KUNAPOKARIBIA KUCHA!!
Kwani ilishawahi kuwa na imani na raia?
 
CCM haiamini tena kama kuna watanzania wa kutosha watakaopiga kura kwenye uchaguzi wowote ule na kukichagua chama hicho.

Vitendo vya kupora Fomu za wagombea wa vyama vingine, kufunga Ofisi ili fomu zilizochukuliwa zisirudishwe, kuzuia wagombea wa vyama vingine kuchukua fomu, na kuruhusu kila aina ya uhuni kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa ni dalili kwamba CCM haina Imani tena ya kuchaguliwa na watanzania kwenye uchaguzi ulio huru.

Kama CCM ingekuwa ina imani kwamba watanzania wataichagua bila ya shaka hizi sarakasi zote tunazoziona zisingekuwepo.

KIZA KINAPOKUWA KINENE NDIPO KUNAPOKARIBIA KUCHA!!
Yaani pamoja na yale madege yao, stigers, bado hawajiamini kabsa
 
Back
Top Bottom