Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,283
- 33,889
CCM haiamini tena kama kuna watanzania wa kutosha watakaopiga kura kwenye uchaguzi wowote ule na kukichagua chama hicho.
Vitendo vya kupora Fomu za wagombea wa vyama vingine, kufunga Ofisi ili fomu zilizochukuliwa zisirudishwe, kuzuia wagombea wa vyama vingine kuchukua fomu, na kuruhusu kila aina ya uhuni kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa ni dalili kwamba CCM haina Imani tena ya kuchaguliwa na watanzania kwenye uchaguzi ulio huru.
Kama CCM ingekuwa ina imani kwamba watanzania wataichagua bila ya shaka hizi sarakasi zote tunazoziona zisingekuwepo.
KIZA KINAPOKUWA KINENE NDIPO KUNAPOKARIBIA KUCHA!!
Vitendo vya kupora Fomu za wagombea wa vyama vingine, kufunga Ofisi ili fomu zilizochukuliwa zisirudishwe, kuzuia wagombea wa vyama vingine kuchukua fomu, na kuruhusu kila aina ya uhuni kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa ni dalili kwamba CCM haina Imani tena ya kuchaguliwa na watanzania kwenye uchaguzi ulio huru.
Kama CCM ingekuwa ina imani kwamba watanzania wataichagua bila ya shaka hizi sarakasi zote tunazoziona zisingekuwepo.
KIZA KINAPOKUWA KINENE NDIPO KUNAPOKARIBIA KUCHA!!