CCM haijamtoka Lowassa akilini

CCM haijamtoka Lowassa akilini

By the way, let's say amekosea na kujikuta ametamka hivyo, je inabadirisha nini hiyo?
 
hakuna cha kupima upepo wala nini mnamkosha bure! ukweli mzee hajakizoea chama kipya...msikilizni hata asemapo kauli ya chadema...mzee kakurupuka kama Brother K!
 
Vidole viwili juu ni ishara ya AMANI wala haimaanishi chadema kama udhanivyo ... google ujionee!!
 
Hakuna cha kupima upepo!! Mheshimiwa kaanza kupoteza kumbukumbu. Bado hajajua kama yupo UKAWA
 
Hajakosea kitu,
hata wewe unaweza kumkumbuka mtu aliyekuudhi miaka ya zamani
ili ageuke aangalie mafanikio yako.


Kama ambavyo janaJK kaongea weeeee mwisho akamtaja Lowassa....
 
Kwani? Nyie hamjawahi kuwa na wapenzi na wakakosea wakawaita majina ya wapenzi ya wao Wa zamani.
 
He has been in ccm for too long to forget it. Its nothing important. Tusonge mbele. Ccm out
 
Mzee alikuwa anapima upepo!hajaamini kama nyomi yote ile ni ya ukawa!

Yawezekana Jana Alisahau Labda Kwakuwa Hakupigwa Zile SINDANO Zake Nne ( 4 ) Anazopigwa Mara Tatu ( 3 ) Kwa Wiki Ili Kumuwezesha Kuwa Na Ganzi Na Kutekeleza Majukumu Yake Vizuri. Wengine Mnaweza Mkanibishia Ila Nitaomba Mtu Aliyepo Ktk Team Lowassa Anibishie Hapa Kuwa Lowassa Hapigwi Hizo Sindano. Mnamtesa Sana Mzee Wa Watu Kwa Kumkandika Tu Hiyo Misindano Na Nahisi Hadi Amalize Kufanya Kampeni MAKALIO Yake Yote Yatakuwa NDEMBENDEMBE.
 
Habari za kweli kutoka ndani ya team lowassa na ukawa kwa ujumla zinasema kuwa kutokana na hali ya mambo ilivyo na inavyozidi kuwa ngumu kwa lowasa, amekata tamaa na kuamua kulisukuma ivo ivo. Mtu wake wa karibu ameeleza kuwa mzee amepima kina cha maji ameona ni kirefu. Hivi sasa anafunika kombe ila undano wake halo ni mbaya. Ana mawazo sana. Anaikumbula sana ccm. Anai miss. Ndio mana juzi tabora aliiombea kura
 
Habari za kweli kutoka ndani ya team lowassa na ukawa kwa ujumla zinasema kuwa kutokana na hali ya mambo ilivyo na inavyozidi kuwa ngumu kwa lowasa, amekata tamaa na kuamua kulisukuma ivo ivo. Mtu wake wa karibu ameeleza kuwa mzee amepima kina cha maji ameona ni kirefu. Hivi sasa anafunika kombe ila undano wake halo ni mbaya. Ana mawazo sana. Anaikumbula sana ccm. Anai miss. Ndio mana juzi tabora aliiombea kura

mtasema yoteeeeeee ila ni wakati wa mabadiliko ona wenzako wanalalama huku

MALALAMIKO YA CCM
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rajabu Luhavi,
alisema wamebaini kuwa Nec, ilikula njama na
Chadema katika kutengeneza ratiba za wagombea
urais kwa kuwa walishinikiza ratiba ya CCM
kuwafikia mapema.
 
Back
Top Bottom