CCM haijamtoka Lowassa akilini

CCM haijamtoka Lowassa akilini

Lowasa alishakata tamaa toka alivyokatwa ccm, tatizo ni wale aliowaadi vyeo ndio wanaomsumbua na kumlazimisha.!
 
wakate tamaa wakati kuna CHOPA NNE ANGANI. TEH TEH TEH.......... UNGEULIZA MKUTANO WA WIKI ULIOPITA KATI YA MGOMBEA MWENZA CCM NA WANAWAKE DAR NINI KILITOKEA?...... BAADA YA KUULIZWA SWALI GUMU TUKUCHAGUE WEWE KAMA MAKAMU WA RAIS KUPITIA CCM AU YULE RAIS MWANAMKE WA ACT?
 
Vise versa is true, anayetakiwa kukata tamaa ni yule ambaye watu hawawezi kuja mpaka wawepo wasanii, na ze comedy. lakini huyu mbaye bango lake tu linakusanya watu kibao atakataje tamaa. Leo hii hata akienda sehem bila taarifa ndani dakika chache atapata nyomi la kuhutubia atakataje tamaa.
 
Hata mm ningekuwa mpenzi wa AVATAR kama yako,pengine ningeandika kama ulivyoandika.Siunajua wazee wa KUJITEKENYA NA KUCHEKA WENYEWE.
 
naomba muwachague viongozi wa ccm kuanzia urais, udiwani na ubunge - hamisi mgeja tabora, sept 2015.
 
CCM_3.png
 
Back
Top Bottom