Ujenzi wa pembezoni ya mito london na mkwajuni unafananaTatizo siyo kuwa mabondeni bali ni kuishi kwenye mabonde yasiyo na miundombinu toshelezi!! Ujumbe ninaoupata ni kwamba CCM haiwezi kupambana na changamoto. Kuna nchi chungu nzima watu wamejenga pembezoni mwa mto likiwemo jiji la London. Kama hayo "Mabonde" yenu mnashindwa kuyawekea miundo mbinu ya kuzuia maji kuvamia makazi ya watu, mtaweza kweli kama mkipewa kuendesha jiiji la Bankok huko Thailand?
Umeelewa mantiki yangu? Kama umefika pale SUKITA utaona tofauti iliyopo kati yake na Mkwajuni unapopasema. Kama unakumbuka zile "stages" za binadamu utakumbuka kwamba kuna "stage" ambapo Mazingira yanamtawala Binadamu lakini baada ya binadamu kugundua moto akaanza kuyatawala mazingira.Ujenzi wa pembezoni ya mito london na mkwajuni unafanana
Kifupi wanao jenga pembezoni na mito ulaya lazima uwe na pesa halafu kwanini utake maeneo bondeni mbona tanzania kubwa sanaUmeelewa mantiki yangu? Kama umefika pale SUKITA utaona tofauti iliyopo kati yake na Mkwajuni unapopasema. Kama unakumbuka zile "stages" za binadamu utakumbuka kwamba kuna "stage" ambapo Mazingira yanamtawala Binadamu lakini baada ya binadamu kugundua moto akaanza kuyatawala mazingira.
Kule Uarabuni wao wanaifukuza bahari sisi hapa Tanzania bahari inatufukuza sisi!! Kama kuna mafuriko jee tumetumia Sayansi na Teknolojia yote tuliyo nayo kuyazuia yasifike kwenye makazi ya watu?
Nani kakwambia kwamba wanaojenga Pembezoni mwa mito ulaya ni wenye pesa? Suala hapa kwa umasikini wetu kila mwenye nyumba ulaya ni mwenye pesa/ Halafu hayo mambo ya kusema kwamba Tanzania ni kubwa ni ya kizamani sana. Mimi nimeamua kuishi Iringa unadhani watanzania wote wanataka kuishi Iringa? Kitaalamu watu huchagua kuishi maeneo ambayo maslahi yao yatatimizwa.Kifupi wanao jenga pembezoni na mito ulaya lazima uwe na pesa halafu kwanini utake maeneo bondeni mbona tanzania kubwa sana
Kuishi ujakatazwa tatizo umejenga bondeniNani kakwambia kwamba wanaojenga Pembezoni mwa mito ulaya ni wenye pesa? Suala hapa kwa umasikini wetu kila mwenye nyumba ulaya ni mwenye pesa/ Halafu hayo mambo ya kusema kwamba Tanzania ni kubwa ni ya kizamani sana. Mimi nimeamua kuishi Iringa unadhani watanzania wote wanataka kuishi Iringa? Kitaalamu watu huchagua kuishi maeneo ambayo maslahi yao yatatimizwa.
Mwai Kibaki aliwaleta wataalamu wa kulima sehemu kama kutoka Israel ili wasaidie kilimo maeneo kama nchini Kenya. Wale waisrael wakamwambia hawajaoa sehemu wanayoweza kutumia ujuzi wao kwani sehemu zote walizopelekwa maji ya aridhi yapo ya kutosha na yanapatikana kwa urahisi. Hayo mnayoyaita Mabonde kwa Sayansi na Teknolojia tanayoijua haiwezekani kuzuia maji yasiende sehemu za makazi ya watu?Kuishi ujakatazwa tatizo umejenga bondeni
jamaa yangu umesema kweli tupuIlani ya CCM inasemaje kuhusu mambo ya Ardhi?
sema watu huwa wanasahau,lakini ukweli ni kwamba CCM haina tabia ya kuheshimu maamuzi ya Mahakama kama kuna maslahi yake kwenye jambo husika!kwani CCM haifuati Sheria tena hapa
Yani wewe kila hizo gharama si bora tujenge shuleMwai Kibaki aliwaleta wataalamu wa kulima sehemu kama kutoka Israel ili wasaidie kilimo maeneo kama nchini Kenya. Wale waisrael wakamwambia hawajaoa sehemu wanayoweza kutumia ujuzi wao kwani sehemu zote walizopelekwa maji ya aridhi yapo ya kutosha na yanapatikana kwa urahisi. Hayo mnayoyaita Mabonde kwa Sayansi na Teknolojia tanayoijua haiwezekani kuzuia maji yasiende sehemu za makazi ya watu?
Unachanganya yaiviza na nyanya unasema mboga tamujamaa yangu umesema kweli tupu
ndani ya CCM Ilani ilidai kila Raia atapewa ardhi na aimiliki
jii Bomoa bomoa na kuwafukuza Watanzania ni mihemuko tu ya Hapa Kazi
Ndio maana kila Waziri ili aonekane kwenye Kikao vha Baraza la Mawaziri angalau naye kafukuza wangapi
Mahakama sasa itawaumbua
kwani CCM haifuati Sheria tena hapa
Nikawaida kumsikia mtu CCM wameamuwa kutubomolea, CCM leo hii wabaya jamani nani kakwambia CCM ndiyo inabomoa ni kiongozi gani wachama umemsikia anasema hayo Mwenyekiti, Makamu, Katibu au jumuia ipi wazazi, vijana, wazee, kinamama.
Haya kwakuwa wanao bomoa ni CCM basi wanaobomolewa ni UKAWA wote kawaida ingekuwa CCM angebagua nyumba za wanachama wake ila kwa kuwa ni serikali inatekeleza sheria haibagui kitu.
CCM ni chama makini mmekitukana kwakuwa kilikuwa hakifuati sheria, kinatetea watu sasa wamesema basi liwalonaliwe.Mlikuwa naona raha kusikia kigogo kasimamishwa,kafukuzwa kazi mkajua sheria inasimama kwa watu wahali ya juu tu.
SHERIA MSUMENO IACHENI CCM ITULIE IMESHAMALIZA KAZI YA KULETA KIONGOZI MAKINI NA WABUNGE SHUPAVU KAZI KWENU
Wewe Kardinalii Wizara ya ardhi inatekeleza sheria kandamizi katika ilani ya CCM iliotungwa na bunge lilio tawaliwa na CCMWe pimbi hiyo ni sheria ipo wizarani imetungwa na bunge na siyo ccm
Hivi wewe hujui kuwa serikali inasimamia na kutekeleza sera za chama? Chama tawala kama hakitaki kitu fulani wataiambia serikali yao waache na serikali itaacha... Go and learn these things once more...Nikawaida kumsikia mtu CCM wameamuwa kutubomolea, CCM leo hii wabaya jamani nani kakwambia CCM ndiyo inabomoa ni kiongozi gani wachama umemsikia anasema hayo Mwenyekiti, Makamu, Katibu au jumuia ipi wazazi, vijana, wazee, kinamama.
Haya kwakuwa wanao bomoa ni CCM basi wanaobomolewa ni UKAWA wote kawaida ingekuwa CCM angebagua nyumba za wanachama wake ila kwa kuwa ni serikali inatekeleza sheria haibagui kitu.
CCM ni chama makini mmekitukana kwakuwa kilikuwa hakifuati sheria, kinatetea watu sasa wamesema basi liwalonaliwe.Mlikuwa naona raha kusikia kigogo kasimamishwa,kafukuzwa kazi mkajua sheria inasimama kwa watu wahali ya juu tu.
SHERIA MSUMENO IACHENI CCM ITULIE IMESHAMALIZA KAZI YA KULETA KIONGOZI MAKINI NA WABUNGE SHUPAVU KAZI KWENU