Lighondi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 581
- 184
Ninawashangaa sana hawa CCM.
Hivi ni mimi tu au nyie hukko kwenu vipi?
Kwakweli hiyo hali ni kila mahali.
Sijui itakuwaje. Ngoja tusubiri.
Ninawashangaa sana hawa CCM.
Hivi ni mimi tu au nyie hukko kwenu vipi?
Ukawa ni watu wa kujionyesha, wabishi makelele tuuu, sasa ccm weng saiv wamejua ukitaka kubishana nao wanakua kimya ila kwenye sanduku ndo mpango mzima, maana unaweza umiza mishipa ya taya kujibishana nao. Sasa kule ndo kiboko ya wote. MAGUFULI FOR CHANGE
Lowassa, UKAWA mpango wa MUNGU...!!!
Siku hizi hadi VIWANJA vya Mpira, maharusini, masokoni, viwandani, mashambani, vijijini, mijini, vyuoni, mashuleni, kila sehemu ni.
MABADILIKOOOOOOOOOOOOO.... LOWASSAAAAAAAA......
Lowassaaaaaaaaaa..... Mabadilikooooo...
Yaani hakuna mtu anataka kuisikia CCM...!!
Wananchi 95% wamegundua ADUI YAO NI CCM.... CCM ishakufa..!!!
CCM out...!!!
Sijapata nafasi ya kusafiri kwenda mikoa ya kusini naagharibi lakini huku Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Mwanza, Kagera ni 90% UKAWA! Kila mtu ni Lowasa ndo rais
Sasa utabishana nn wakati unajua tembo wanauwawa na katibu mkuu wako, viwanda mmeua, umeme shida, n.k. Dawa yenu mpaka ss ni ndogo sna, kutibua mbinu zenu za kuiba kura bac.