Heshima mbele wana JF:
Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:
CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:
Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:
1.Amani na Utulivu nchini:Bila CCM na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi hii isingefika hapa.
-Tanzania ni taifa lenye amani duniani:
-Naisifu CCM kwa hili; ukiangalia mataifa mbali mbali duniani vita na majanga mbali mabali unaweza gundua kuwa kweli Tanzania pamoja na umaskini wetu bado AMANI ni kitu muhimu sana na ni FAHARI YETU.
-HONGERA CCM na tunashukuru kwa hili.
2.Kukua kwa maendeleo:hapa tunazungumzia Elimu,Mawasiliano,Kilimo etc
-Elimu hakuna ubishi toka kuwa na Chuo kikuu kimoja hadi sasa tunashukuru CCM na serikali yake bila wao nadhani tungechechemea kwa hili.
-Mawasiliano:barabara na telecom kwa hili serikali imejitahidi sana na bado inaendelea kutengeneza barbara safi na za kisasa.
-Kilimo kimeboreshwa na serikali bado inazidi kuhimiza kilimo kama njia ya kujikwamua kiuchumi.
3.Kukua Kwa SIASA na democracy:CCM ingekuwa si chama kizuri nadhani sasa hivi TZ ingekuwa kama kwa kina castro Fidel CUBA:Yani kusingekkuwa na vyama vingi na tena vinajiexpress kama wapendavyo bial tabuu yoyote.
-Katiba na utawala wa sheria pia ni kitu cha kujivunia.
Kwa mlinganisho:Bado WAPINZANI hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:
sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.
KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.
HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO:
You need to be ingored big time hakika Wadau huyu katumwa baada ya kumaliza kupima upepo kwa JK kuwa LIVE sasa wanakuja njia mpya . Hatuwezi kurudia kuridia mijadala okoa muda wetu wa kujadili mambo mengine bwana
You need to be ingored big time hakika Wadau huyu katumwa baada ya kumaliza kupima upepo kwa JK kuwa LIVE sasa wanakuja njia mpya . Hatuwezi kurudia kuridia mijadala okoa muda wetu wa kujadili mambo mengine bwana
HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO:
Mkuu,wewe nio watakiwa uwe ignored hapa...Huu ni mtizamo wake(where we dare to talk openly).Cha msingi ni kumjibu kwa hoja(kwa nini hukubaliani na mtizamo wake) badala ya kuanza kumtuhumu kwamba KATUMWA na nani sijui...Wakati mwingine ni vizuri watu tukatofautiana kimtizamo aisee...Hoja hujibiwa kwa hoja na si blah blah kama hizo zako hapo juu...Pamo jah!!
FIKRA MGANDO!!!!!
We unajua kabisa unaongea pumba ndio maana umetahadharisha kuwa inawezekanna ukawakera wengi na ndivyo ilivyo.....
Amani haiwezi kuletwa na ccm hata siku moja.......
watz sio ccm........ndio maana kutokana na mfumo mbivu asilimia 90 hawapigi kura kwani hawaoni umuhimu kwa chama cha mafisadi.
mbona US kila muhula kuna mabadiliko ya chama na kuna amani?
mbona uingereza kuna mabadiliko ya vyama lakini kuna amanni
hali kadhalika ujerumani na mataifa mengine
Wanachojali wao ni sera.....
watz tutakapogeuka na kuwa binadamu wa ukweli tutafaidi sana matunda ya nchi ...lakini tukiwa bei chee kiasi hiki kama akina zitto kununulika kwa bei ndogo kiasi hiki kamwe hatutafiak................
Heshima mbele wana JF:
Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:
CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:
Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:
1.Amani na Utulivu nchini:Bila CCM na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi hii isingefika hapa.
-Tanzania ni taifa lenye amani duniani:
-Naisifu CCM kwa hili; ukiangalia mataifa mbali mbali duniani vita na majanga mbali mabali unaweza gundua kuwa kweli Tanzania pamoja na umaskini wetu bado AMANI ni kitu muhimu sana na ni FAHARI YETU.
-HONGERA CCM na tunashukuru kwa hili.
2.Kukua kwa maendeleo:hapa tunazungumzia Elimu,Mawasiliano,Kilimo etc
-Elimu hakuna ubishi toka kuwa na Chuo kikuu kimoja hadi sasa tunashukuru CCM na serikali yake bila wao nadhani tungechechemea kwa hili.
-Mawasiliano:barabara na telecom kwa hili serikali imejitahidi sana na bado inaendelea kutengeneza barbara safi na za kisasa.
-Kilimo kimeboreshwa na serikali bado inazidi kuhimiza kilimo kama njia ya kujikwamua kiuchumi.
3.Kukua Kwa SIASA na democracy:CCM ingekuwa si chama kizuri nadhani sasa hivi TZ ingekuwa kama kwa kina castro Fidel CUBA:Yani kusingekkuwa na vyama vingi na tena vinajiexpress kama wapendavyo bial tabuu yoyote.
-Katiba na utawala wa sheria pia ni kitu cha kujivunia.
Kwa mlinganisho:Bado WAPINZANI hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:
sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.
KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.
HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO: