Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Nimetafakari kwa kina nikagundua ccm kitakuwa chama kizuri sana cha upinzani baada ya kushindwa kwenye uchaguzi ujao. Imagine Magufuli anachangia hotuba ya waziri wa ujenzi, Mwandosya anachangia wizara ya Maji. Sita anachangia hotuba ya waziri wa katiba na bunge. Na kwa ninavyoijua ccm itakuwa imewatema akina cuf, tkp nccr udp na wengine.. Naona upinzani utakuwa bora na utalenga kuijenga nchi maana hawatapata mizengwe kutoka chama tawala (chadema). Au wana Jf mnaonaje!?