Na ndomana makanisa ya zamini yote yana under-ground,anagalia kama kanisa la mkunazini tena imeekwa kabisa njia mpaka pwani.. Je! kanisa lilikuwa la waarabu au? labda nikueleze tu kitu kidogo unaelewa kwamba machief wenyewe ndio walikuwa wanafanya biashara hiyo ya utumwa? Hata meli zilokuwa zinakuja ni za wazungu na zinajulikana kwa majina..