Mimi sifungamani na upande wowote lakini maoni yangu CCM kubeba wanachama wake sioni kosa kwani mgombea uraisi hazunguki kwenye Jimbo Zima, hii ina maana wale wa mbali kama wasipopewa usafiri hawatamsikia mgombea wao wa uraisi. Ukweli ni kuwa vyama vyote vingependa ujumbe wa mgombea uraisi wao uwafikie wanajimbo wote lakini uwezo ni mdogo.
Sasa unatafuta nini kwenye jukwaa hili? kwa nini comments zako usipeleke jukwaa lenu wafanya mizaha aka wafanya biashara? OvyooooooooooSitegemei kupata riziki yangu kupitia sanduku la kura, sheria ya gharama za uchaguzi siyo RELEVANT. Labda sheria ya makampuni na zile za kodi ndizo nahitaji kuzielewa nisibamizwe
Leo ni siku ambayo"kiongozi wa mkuu anawasili katika jimbo la busanda katika kata ya nyarugusu"vijana wengi hawaoneshi msisimko wowote ambao watu wengi wamechoka na chama cha ccm mpaka wazee nao wamechoka"kinachochekesha chama cha mapinduzi kinakusanya maroli ambayo yanabeba watu kutoka sehemu mbalimbali ili kuonyesha msisimko,lengo lao ni kujionyesha wanawatu wengi lakini hapana watu tumechoka
Leo ni siku ambayo"kiongozi wa mkuu anawasili katika jimbo la busanda katika kata ya nyarugusu"vijana wengi hawaoneshi msisimko wowote ambao watu wengi wamechoka na chama cha ccm mpaka wazee nao wamechoka"kinachochekesha chama cha mapinduzi kinakusanya maroli ambayo yanabeba watu kutoka sehemu mbalimbali ili kuonyesha msisimko,lengo lao ni kujionyesha wanawatu wengi lakini hapana watu tumechoka