Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Wewe unafaa kupuuzwa na kila aliyezaliwa na mwanamke. Ushindwe na ulegee; ukabila ndo unaendekea mpaka sasa katika zama hizi. Badilika ndugu!
ninyi ndio maPUNGA kweli kweli...huyo riz 1 ndio mumeo aliekushikia akili kenge ww!
msiwe mnadandia treni kwa mbele wakati mmeinama na kutegesha
Mada inasema
[h=2]Re: CCM bado hamjairudisha Kanda ya Ziwa[/h]ni wapi CHADEMA kaambulia hiyo Kanda ya Ziwa?
Wamegalagazwa kila kona na Wasukuma hawatakaa wamuache Magufuli mpaka miaka 10 ipite
Mleta Mada hasema
watu wanasherehekea ninyi ndio mna majonzi Kenge wakubwa tulieni mnyolewe magambaUkweli ni kuwa wananchi walio wengi kanda ya ziwa bado hawana imani na CCM na wana majonzi mazito kutokana na matumaini yao kufifia.