tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Tunataka kuaminishwa na CCM kwamba waliobaki CCM ni watakatifu. Kwangu mimi hapana. Waliohusika na Ufisadi wa escrow tena kwa Ushahidi wa Miamala ya kibenki bado wanaendelea kudunda ndani ya CCM.
Tena wengine wamepita kwenye kura za maoni za Ubunge, na wengine bado wanajifanya wapiga kampeni za Urais ili hali wao waliohisika moja kwa moja na Ufisadi huo tena kwa Ushahidi.
Kwa nn Mliwakata wengine.
Nyinyi bado ni mafisadi wa kuogopwa. CCM Jikateni wote mtuachie nchi yetu ikiwa salama.
Tena wengine wamepita kwenye kura za maoni za Ubunge, na wengine bado wanajifanya wapiga kampeni za Urais ili hali wao waliohisika moja kwa moja na Ufisadi huo tena kwa Ushahidi.
Kwa nn Mliwakata wengine.
Nyinyi bado ni mafisadi wa kuogopwa. CCM Jikateni wote mtuachie nchi yetu ikiwa salama.