maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Siyo bado Chafu wameoza kwa Rushwa na mifumo yao mibovu.
Ingekuwa mimi ingefanyika France Revolution hapa kwetu
Ingekuwa mimi ingefanyika France Revolution hapa kwetu
ni kweli ccm kuna mafisadi. lakini je wapinzani na hasa ukawa watathubutu kuzungumzia ufisadi tena?
Naona sasa wamekuchagulia mgombea muhumini wa kanoni na mpiga tumba mwenezi mpiga gita ccm naona wasanii awajaishaMaajabu ya chadema, DJ wa klabu ya usiku anasafisha dhambi na kumfanya "shetani kuwa Malaika".
Watazungumzia tena.kwa ujasiri mkubws
Ungekuwa unazungumza haya wakati hatujaamua kuwakumbatia mafisadi baadhi yao ingekuwa na maana. Sasa kama dhana ya ufisadi tumeshaisafisha umeleta uzi huu kwa ajili gani sasa. Tumeambiwa kama hatuna ushahidi tu shut up! Kama tunao tupeleke mahakamani basi. Tumeshaamua sasa hivi hatu deal na mtu mmoja mmoja. Tuna deal na mfumo. Ingawa sasa bahati mbaya limfumo lenyewe ndio hivyo tena limeshaamia ukawa. Ni sheeeeda. Aibuuuuu. .... hata wewe Mbowe! , Lissu.! Mnyika! ! Lembeli! ? Bulaya! ? Marando! ? Safari! ?Tunataka kuaminishwa na CCM kwamba waliobaki CCM ni watakatifu. Kwangu mimi hapana. Waliohusika na Ufisadi wa escrow tena kwa Ushahidi wa Miamala ya kibenki bado wanaendelea kudunda ndani ya CCM. Tena wengine wamepita kwenye kura za maoni za Ubunge, na wengine bado wanajifanya wapiga kampeni za Urais ili hali wao waliohisika moja kwa moja na Ufisadi huo tena kwa Ushahidi.
Kwa nn Mliwakata wengine.
Nyinyi bado ni mafisadi wa kuogopwa. CCM Jikateni wote mtuachie nchi yetu ikiwa salama.
Ungekuwa unazungumza haya wakati hatujaamua kuwakumbatia mafisadi baadhi yao ingekuwa na maana. Sasa kama dhana ya ufisadi tumeshaisafisha umeleta uzi huu kwa ajili gani sasa. Tumeambiwa kama hatuna ushahidi tu shut up! Kama tunao tupeleke mahakamani basi. Tumeshaamua sasa hivi hatu deal na mtu mmoja mmoja. Tuna deal na mfumo. Ingawa sasa bahati mbaya limfumo lenyewe ndio hivyo tena limeshaamia ukawa. Ni sheeeeda. Aibuuuuu. .... hata wewe Mbowe! , Lissu.! Mnyika! ! Lembeli! ? Bulaya! ? Marando! ? Safari! ?
Wengi hawajadakwa mkuu. Wengine ni wa Richmond, iptl, dowans, buzwagi, sembe na nk
Ushahidi Wa Escrow upo kwenye miamala ya Benki tena kwa majina. Sasa unataka ushahidi gani zaidi ya huo. Kama suala la kukatana kwa maana ya maadili basi CCM jikateni wote mtuachie Tanzania yetu.
Ccm imeaoza