Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Mimi nimeupata kutoka namba 2557071788. Kama kweli TCRA hawawezi kumbaini anayetuma ujumbe huu basi usalama wa nchi hii uko hatarini sana. Kama watu wa namna hii hawatakamatwa wanaweza kuliingiza taifa hili katika mgogoro kwani hatujui kesho na kesho kutwa watatuma ujumbe wa namna gani.