Muda mfupi uliopita nimepata sms kwenye simu yangu ya zain toka namba 2557071788 na hapa ninainukuu "CHADEMA wametekleza ahadi ya kumwaga damu.Juzi wamemuua ndugu mgombea wa CCM Maswa. Mjumbe wa kampeni ya SLAA amekamatwa.Tuwakatae chadema wamwagaji Damu" Ni dhahiri sasa inaonekana ni CCM dhidi ya Dr.Slaa jamani hivi ni kweli au ndo mfa maji haachi kutapatapa