mkalamo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 324
- 347
Wadau kesho Jumamosi Sept 5 katika jiji letu la Arusha tulikuwa tuwe na kongamano la kiimani linaloendeshwa na redio Safina
Vile vile siku hiyo ya kesho CCM wanatarajia kuzindua kampeni za Ubunge huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Kasim Majaliwa
Hata hivyo kongamano la dini limelazimishwa kuahirishwa kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kupisha tukio hilo la kampeni na kutoa fursa watu waelekee huko
Kwa muktadha huu matukio ya kiimani hayana nafasi kubwa katika jamii labda baada ya kampeni kuisha
Vile vile siku hiyo ya kesho CCM wanatarajia kuzindua kampeni za Ubunge huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Kasim Majaliwa
Hata hivyo kongamano la dini limelazimishwa kuahirishwa kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kupisha tukio hilo la kampeni na kutoa fursa watu waelekee huko
Kwa muktadha huu matukio ya kiimani hayana nafasi kubwa katika jamii labda baada ya kampeni kuisha