Wamefunga tovuti ya tume ,wamewadhalilisha wajumbe wa tume ,kila kukicha wanafanya hila na ghilba rej.kukatwa matangazo ya TBC alipokuwa anaongea prof kabudi,wamebadili kanuni kuwabana walio wachache,wamevunja kanuni kumtanguliza mwenyekiti was tume badala ya rais n.k Hivi bado mnaamini wanna Nia na katiba mpya?