CCM acheni unafiki ...!

CCM acheni unafiki ...!

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,929
Reaction score
2,567
Wana jf,
Kwa shauku na hamu nilisubiri huku nikitafakari moyoni mwangu jinsi viongozi wa CCM watakavyo pata wakati mgumu kutoa salam za chama katika msiba wa Mzee wetu marehemu W.Mgimwa.

kwa makini nilifuatilia kauli za Mangula,Mwigulu,Jenista na wengine wengi,woote walikiri mzee huyu(marehemu) alikuwa mchapa kazi sana na hata spika akdiriki kusema wangepata mbadala wa mtu mwingine afe kwa niaba yake.

Binafsi nilistushwa sana maana nikikumbuka mzee kinana alitumia fedha nyingi za chama kuzunguka mikoani akisisitiza mawaziri mizigo,akiwemo na huyu mzee, iweje leo wamuone mchapakazi...???

CCm acheni unafiki,jifunzeni kuheshimu kauli zenu. Ninachotaka hapa sio kumzungumzia marehemu, bali kuonyesha hawa waheshimiwa kwamba wanalohubiri silo wanalotenda,na wanatuhadaa wananchi...
 
wewe ndio mnafiki, ujui hata unachokisema,
 
Wana jf,
Kwa shauku na hamu nilisubiri huku nikitafakari moyoni mwangu jinsi viongozi wa CCM watakavyo pata wakati mgumu kutoa salam za chama katika msiba wa Mzee wetu marehemu W.Mgimwa.

kwa makini nilifuatilia kauli za Mangula,Mwigulu,Jenista na wengine wengi,woote walikiri mzee huyu(marehemu) alikuwa mchapa kazi sana na hata spika akdiriki kusema wangepata mbadala wa mtu mwingine afe kwa niaba yake.

Binafsi nilistushwa sana maana nikikumbuka mzee kinana alitumia fedha nyingi za chama kuzunguka mikoani akisisitiza mawaziri mizigo,akiwemo na huyu mzee, iweje leo wamuone mchapakazi...???

CCm acheni unafiki,jifunzeni kuheshimu kauli zenu. Ninachotaka hapa sio kumzungumzia marehemu, bali kuonyesha hawa waheshimiwa kwamba wanalohubiri silo wanalotenda,na wanatuhadaa wananchi...
Lete uthibitisho kuwa Mgimwa alitajwa kuwa ni waziri mzigo
 
NGUVU YA ZITTO IMEMUINGIA HADI MKE WA JUNIO KILEO,KILEO NI YULE AMBAE ALILALAMIKIWA NA KUSHITAKIWA NA ZITTO KUWA ALIWEKA KWENYE MTANDAO WAKE HABARI ZA KUWA ZITTO KAONGWA NA CCM

MKE WA KILEO BI JOYCE KIRIA AAMUA KUANIKA UKWELI HADHARANI
Dada Joyce Kiria ambaye ni mwendesha kipindi cha Wanawake Live CHA EATV
Haya ndiyo maoni yake katika mjadala mmojawapo katika wall ya Albert Msando. Mjadala upo chini ya Kitila na Mwigamba wavuliwa uongozi.
"Kama CDM mmeamua kuchonga barabara, msiwaache wanaokwenda kinyume na Miiko na Maadili ya Uongozi. Mh Mbowe kazaa nje ya Ndoa! Mh Mukya kazaa na Mume wa mtu. HAO NI VIONGOZI WA AINA GANI??

Na Viongozi wengine wenye tabia za namna hiyo hawafai hata kuwa wajume wa nyumba 10...

CDM Mkiishia kwa ZZK mtakuwa Mmebagua sana. Na mtakuwa mmewaonea sana kina ZZK na his Team. Mtazamo tu

Yangu Macho...

Uaminifu ndo Msingi wa mambo yote! Ukishindwa kuwa mwaminifu kwenye familia yako, Ndoa yako, nyumbani kwako, hakuna mahali pengine utaweza kuwa Mwaminifu.

Hayo ya Ufisadi yanaanza na Mtu binafsi, Familia, ( Mke) na mwisho ndo Jamii...

Umeshindwa kuongoza Familia yako, ivi kweli Taifa ndo Utaliweza??

CDM msipokubali chujio liwapitie wote, mkabakia kuangalia tabaka na vidagaa mtachelewa sana kufika....

Mtazamo wangu na Msimamo wangu ndo huo...

Uchaguzi ujao ni heri kuchagua Mtu siyo chama! kama mambo hayatabadilika...

Note: Jazba inatoa watu povu kweli..mie huwa sijali

Hiyo inaitwa Vunja Ukimya, Elimika,

Uaminifu wa Kiongozi yeyote na dhamira yake ya kubeba Dhamana ya Matumaini ya Wananchi Ni Lazima Ianzie nyumbani kwake.

Kama Kiongozi ameshindwa kutunza Uaminifu kwa Mke wake, (familia moja) atawezaje kwa jamii (familia lukuki) kama Kiongozi ameiumiza familia yake ya watu wachache, atashindwa vipi kuwaumiza watanzania wengi asiowajua....

Unapomuumiza Mke wako aliyekuzalia Watoto, kwa kutoka nje ya Ndoa, tena Ukazaa huko!! wewe huna tofauti na Mafisadi wengine...

Hufai Kuwa Kiongozi hata wa Nyumba 10....

Huo ndo msimamo wangu mimi Joyce Kiria..... Tokeni povu lakini hamnisumbui ng'o... Ukweli daima nitasema ili niepuke Unafiki na Uzandiki niwe Huru...."
 
baada ya kufa maCCM wamefurahi hadi kusahau.kwani Kifo kimerahisisha sana kazi yao ngumu.CCM hawawezi meza kitu kichungu..

Sasa nao wajaribu ....Mtishia Lowasa....Lowasa katangaza Nia ktk njia sahihi kuliko Zitto CCM wameshindwa vumilia, CDM wamefukuza si tuu msaliti pia haini wa chama....Lowasa hajawahi toa siri za CCM kwa chama kingine.Leo CCM hawataki hata robo ya democrasia wanayoitaka kwa CDM.
 
wewe ndio mnafiki, ujui hata unachokisema,

...wanafiki wakubwa nyie,eti mzigo,kwenye mazisho ooooh mchapa kazi...? ndo mnavyotuibia,oooh maisha bora, mpaka kesho sijajua mnatumia kamusi gani kutafsiri neno maisha bora nyie wanafiki..
 
wewe ndio mnafiki, ujui hata unachokisema,

CCM Mhhh wapowapo kama wale wa Ohio ..ukiwa naye oohhh dear. ukimalizana naye anakutukana na kutafuta mwingine
 
marehemu ni marehemu tu. hakuna unafiki walofanya wana ccm hapo
 
Wewe unashabikia upuuuuzii, ukifuatilia Mambo ya ndoa Mkuu wako wa nchi mwenyewe utamgusa tena sanaaaa. Kwahiyo unataka ajiuzulu? vikaza ndoa(nyumba ndogo) ni vitu vya kawaida acha kujifanya SAINT. Siasa ni siasa, zzk anaona kafumaniwa kwenye unafiki na usaliti anaibua mambo ya ndoa za watu? yeye umalaya ndo umemkwinda hawezi hata kuooa.
Huyo Kiria unaemshabikia yeye anajizeekea kesha kula share ya raha zake duniani. Mimi binafsi sijali kama kiongozi ana wajibika. akichovyo nje hiyo ni kwa raha zake.
 
Inawezekana upeo wa binadamu kufikili unapungua kizazi na kizazi, watu wamezamia kuzungumzia mambo binafsi ya watu badala ya hoja. Mbaya zaidi wanasahau kuwa upnde mwingine wanajulikana tangu enzi kuwa hayo madhaifu kwao nikama halali kabisa. Kama kuzaa nje hata Mfalme Daudi alizaa na mke wa Uria na akaendelea kuwa mfalme na Aliendelea kupendwa na Mungu. Mtu akizaa nje au ndani anajua yeye na mume au mke wake. Hivi aliye wathibitishia nyie kuwa hao baba zenu ni biological fathers nani? Njengeni hoja siyo nani kalala na nani, hizo pelekeni Jukwa na urafiki na mapenzi .
 
Viongozi wengi ccm na uvccm ni zao la ngono zembe haswa mikesha ya mwenge lakini hatujawahi kuwahukumu kwa hilo tunawahukumu kwa ufisadi,uzembe na matumizi mabaya ya madaraka.
 
Mambo ya kina ifweero na MSALANI
1389282524168.jpg
Viongozi wengi ccm na uvccm ni zao la ngono zembe haswa mikesha ya mwenge lakini hatujawahi kuwahukumu kwa hilo tunawahukumu kwa ufisadi,uzembe na matumizi mabaya ya madaraka.

View attachment 131160
 
Last edited by a moderator:
marehemu ni marehemu tu. hakuna unafiki walofanya wana ccm hapo

...wasiwe ndumila kuwili basi,kama walisema ni mzigo wasijidai wanauchungu kupita wafiwa,eti angeenda mwingine.wanafiki sana hawa watu. Walimimina sifa utafikiri wanampenda. Angesema nagombea urais ungesikia oooh kodi ya simu,mara ving'amuzi vya tra watu wanagoma,unafiki tu...
 
Lete uthibitisho kuwa Mgimwa alitajwa kuwa ni waziri mzigo

...yaone,hata aibu hamuoni,wananchi wanalia maisha magumu nyie mmekomaa kumjengea Bush daraja la kwenda kwake kigamboni,wananchi mmewafukuza kisa bush kanunua...
 
Back
Top Bottom