Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
tunapoelekea watanzania watakuwa hawaendekezi tena pilau kofia na t shirt wanazohongwa na ccm . kwa hio watakaokuaj kwa hiari yao ccm wataambulia mabo kama haya
Unayakumbuka maneno ya Al Sahaf dhidi ya majeshi ya Marekani?Wishful thinking.