CCJ wamefanya nini kustahili dhamana ya kuongoza nchi?

CCJ wamefanya nini kustahili dhamana ya kuongoza nchi?

Bigirita

Platinum Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
16,043
Reaction score
7,477
Hili lilikuwa swali la MMKJJ kwa CHADEMA November 2009!!

Naona MMKJJ mahesabu yake hayakuwa sawa!! kama anatumia kigezo cha KUFANYA NINI, Namuuliza, CCJ imefanya nini mpaka tuipe dhaman aya kuongoza nchi???
 
Si hilo tu, Tungependa kujua kwanza ni akina nani hao waliounda CCJ. Tukishawafahamu na kufahamu ruuya yao kwa Tanzania tunaweza
kuwaunga mkono.
 
Si hilo tu, Tungependa kujua kwanza ni akina nani hao waliounda CCJ. Tukishawafahamu na kufahamu ruuya yao kwa Tanzania tunaweza
kuwaunga mkono.

Ndiyo mkuu, maswali yajibiwe, tusisahau kuwa siasa na uwanaharakati sio sawa!! mtu akiamua kuwa mwanaharakati siku akigeuka kuwa mwanasiasa, ni sawa na kugeuka misingi uliyojiwekea!! MMMKJJ anageuka misingi aliyojiwekea, sasa moja na moja inakuwa 11 na anaona ni sawa tu!!
 
Kuongoza nchi si kazi ya wanasiasa. Hapo ndipo wadanganyika mnapoanzaga safari wrong-footed.
 
Kwasasa CCj haistahili kupewa uongozi wa taifa!

Uzembe wa viongozi wao kwenye usahili unaongea mengi sana from management point of view.
 
hili linajibu vipi swali la awali?

Naona napata swali lingine. CCM awamu ya nne wamefanya nini kustahili kuendelea na dhamana ya uongozi wa taifa? Is there anything they can show to intelligent men kuwa walifanya na watafanya nini wakipewa tena 2010.

Mwanakijiji unaweza kutuma ka-inzi kako kwenye ofisi ya CUF, maana kwa uzoefu wangu wa siku za nyuma inaonekana kuwa mchezo unakuwa wa kawaida. CUF inashinda CCM itawala, CUF wanacharazwa bakora unaitishwa mwafaka, life goes on. Naona this time around kumekuwa kimya kiasi au ndio kuwa viongozi wachache wa CUF wamelambishwa asali, wanakaa kimya, halafu wataanza kulalama baada ya Oktoba? Huko Zanzibar nako kula swali kama hilo wamefanya nini kustahili tena dhama ya uongozi??
 
Back
Top Bottom