Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,367
- 6,494
Conclusion yako ingekuwa nzuri kama ungeweka data zinazo endana na analysis yake, kwani conclusion huwa inatokana na kuwa na data na kuzichambua na kufikia hitimisho - matokeo kwa kifupi, na iwe na logic. Je umetumia njia zipi za kitafiti kufikia conclusion yako? Fikra pia zinakubalika kufikia conclusion lakini lazima kuwe na back-up au evidence ya kutosha.
Mbona mimi naona CCJ sio cha CCM kwa sababu wakisajiliwa kitakuwa chama kingine cha siasa. Na umekwishasema kuwa CCM kuna makundi matatu, moja linataka kujitoa, sasa uoni kama kutabaki na makundi 2 yataendelea kuunda CCM na moja chama kingine na mwisho wa siku kuwa na vyama viwili tofauti. Mwanzo walisema vivi hivi kuwa kimeundwa na usalama wa taifa. Kama ni cha CCM mbona usajili wake unakuwa mgumu?
Labda unge-conclude kuwa CCJ asili yake ni CCM kwani kundi linalounda CCJ linatoka CCM baada ya kuwa na makundi matatu ambayo yanapingana na makundi mawaili ambayo yatabaki huko CCM. Pia labda uongezee kuwa wanachama waliopatikana kwa ajili ya usajili wa kudumu, wengi wao walikuwa CCM. Swali: je haya yanayobaki CCM yamekubaliana kuwa pamoja? Au baadae moja tena litatoka?
Mbona mimi naona CCJ sio cha CCM kwa sababu wakisajiliwa kitakuwa chama kingine cha siasa. Na umekwishasema kuwa CCM kuna makundi matatu, moja linataka kujitoa, sasa uoni kama kutabaki na makundi 2 yataendelea kuunda CCM na moja chama kingine na mwisho wa siku kuwa na vyama viwili tofauti. Mwanzo walisema vivi hivi kuwa kimeundwa na usalama wa taifa. Kama ni cha CCM mbona usajili wake unakuwa mgumu?
Labda unge-conclude kuwa CCJ asili yake ni CCM kwani kundi linalounda CCJ linatoka CCM baada ya kuwa na makundi matatu ambayo yanapingana na makundi mawaili ambayo yatabaki huko CCM. Pia labda uongezee kuwa wanachama waliopatikana kwa ajili ya usajili wa kudumu, wengi wao walikuwa CCM. Swali: je haya yanayobaki CCM yamekubaliana kuwa pamoja? Au baadae moja tena litatoka?