Ndio maana wengine wanasema jamvi limeingiliwa kwa ajili ya maslahi binafsi badala ya maslahi ya kijamii. Ukitaka kuhakikisha hili jaribu kupitia threads za miaka kabla ya 2010 uone jinsi members walivyokuwa wakijikita katika hoja badla ya chuki na udaku kama ilivyo sasa.Nakupa LIKE mkuu.. wajua kuna mengi hapa kwetu sio wote tunayafahamu.. hivyo kupitia majukwaa haya,sio vibaya yakatoa elimu kwa wanaofahamu kuwafahamisha wengine yale wayajuayo na yale wasioyajua... Tulitumie jukwaa hili kwa faida na sio ki ushabiki wa Siasa mbovu!!
Huu uzi unasema hivi " CCBRT ni ya Nani?"uyo ni mtanzania?au haujui utaratibu wa uanzishwaji wa NGO katika nchi ambayo si yako. Tupinge ila huo ndo ukweli, chuki za kisiasa sasa unaonekana ni upumbavu....
Sijui kwa nini CCBRT waweze kusafirisha wagonjwa wa fistula toka kote tanzania na kutibu bure lakini serikali inashindwa japo kutibu kikohozi bure
Mkuu akuna aliyekataa soma kichwa cha habari cha huu uzi kinasema hivi "CCBRT ni ya Nani?" tupe jibu mkuu.Dr. Wilbroad Slaa ni miongoni mwa watu walio changia kuanza na kustawi kwa CCBRT na kama sikosei kwa sasa ndiyo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi. Ili kuamini maneno yangu fuata maelezo na link ifuatayo:http://www.ccbrt.or.tz/about-ccbrt/facts-figures/
[h=1]history of CCBRT[/h]1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert Vanneste founded CCBRT. Their mission was to contribute towards poverty alleviation by making rehabilitative services accessible and affordable to people with disabilities. In 1994, CCBRT was registered as a private Non-Governmental Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian Societies Act, No SO8261.
Huduma za CCBRT zinakua nafuu kutoka wanapata michango mingi kutoka wa wafadhili mbalimbali kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi, tanzanzia karibia mabenki yote makampuni ya simu wanapeleka pale michango yao.Habari wana JF..
Naomba kujuzwa kupitia Jamvi letu,Mmiliki au Mwanzilishi wa CCBRT ni nani!? Kwani ni taasisi pekee inayotoa huduma mzuri na kwa gharama nafuu mno kuendana na hali halisi ya Mtamzania..
Naomba kwa anayefahamu anijuze!!
Mkuu Edward, Msalani ni ID inayotumika na kundi la watu wenye nia mbaya sana na nchi hii! daima wapo hapa kuitetea CCM kwa hoja dhaifu na mitusi tu!Mkuu, kwanini unaamka asubuhi na kuwai kwenye mitandao ya kijamii kwa nia moja tu "kupinga ukweli"?
Na kwakufanya hii kazi nini hasa unafaidika maana upo hapa jf asubui mpaka giza linaingia na kazi yako ni kukera watu na kuwakatisha tamaa wapenda mabadiliko.
Mkuu Edward, Msalani ni ID inayotumika na kundi la watu wenye nia mbaya sana na nchi hii! daima wapo hapa kuitetea CCM kwa hoja dhaifu na mitusi tu!
Mkuu Edward, Msalani ni ID inayotumika na kundi la watu wenye nia mbaya sana na nchi hii! daima wapo hapa kuitetea CCM kwa hoja dhaifu na mitusi tu!
Dr slaa
nampa hungera na sifa nyingi sana slaa kwa kuwa miongoni mwa waanzilishi wa ccbrt.
Lakini suala la urais ni zaidi ya kuanzisha NGO's yoyote ile. na sidhani wala kuamini kama slaa ni presidential material.
Nadhani tuna waTanzania wengi tu wenye vichwa vilivyotulia kuwa rais. tutimize jukumu letu kuwaweka hao.
Huduma za CCBRT zinakua nafuu kutoka wanapata michango mingi kutoka wa wafadhili mbalimbali kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi, tanzanzia karibia mabenki yote makampuni ya simu wanapeleka pale michango yao.
Mkuu akuna aliyekataa soma kichwa cha habari cha huu uzi kinasema hivi "CCBRT ni ya Nani?" tupe jibu mkuu.
Acha uongo wako, hiyo si ingekua headline kwenye kampeni zake
Kaka, Dr Slaa ana mazuri mengi aliyoyafanya kwa Tanzania hii, ukiwa karibu nae na kuongea nae utashangaa
Dr Slaa sio mtu wa makuu kama unavyofikiria kwamba kwenye majukwaa aanze kuelezea amefanya hili amefanya lile,
Hana lugha ya kilaghai kama walizonazo maccm wanaomsifia magufuli kwa barabara wakati foleni ni tatizo Dar Es Salaam
Huu uzi unasema hivi " CCBRT ni ya Nani?"
Watu wanajibu ni ya Dr.Slaa.
Mimi nakataa nasema hivi.
Founder and Director ni Richard Moore.
Wewe unaleta tena habari huyu ni mtanzania.
Mkuu, hii sentensi ukiitafsiri ndo inaleta maana uliyoandika hapa??
history of CCBRT
1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert Vanneste founded CCBRT. Their mission was to contribute towards poverty alleviation by making rehabilitative services accessible and affordable to people with disabilities. In 1994, CCBRT was registered as a private Non-Governmental Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian Societies Act, No SO8261.