CCBRT ni ya Nani?

Ndio maana wengine wanasema jamvi limeingiliwa kwa ajili ya maslahi binafsi badala ya maslahi ya kijamii. Ukitaka kuhakikisha hili jaribu kupitia threads za miaka kabla ya 2010 uone jinsi members walivyokuwa wakijikita katika hoja badla ya chuki na udaku kama ilivyo sasa.

 
Dr. Wilbroad Slaa ni miongoni mwa watu walio changia kuanza na kustawi kwa CCBRT na kama sikosei kwa sasa ndiyo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi. Ili kuamini maneno yangu fuata maelezo na link ifuatayo:http://www.ccbrt.or.tz/about-ccbrt/facts-figures/
[h=1]history of CCBRT[/h]1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert Vanneste founded CCBRT. Their mission was to contribute towards poverty alleviation by making rehabilitative services accessible and affordable to people with disabilities. In 1994, CCBRT was registered as a private Non-Governmental Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian Societies Act, No SO8261.
 
Kunawatu wanahifadhi taka za chooni kazi Yao no kupinga Lila kitu hata Lowe na ukweli kiasi gani teuachane nao mean tuwapuuzep
 
uyo ni mtanzania?au haujui utaratibu wa uanzishwaji wa NGO katika nchi ambayo si yako. Tupinge ila huo ndo ukweli, chuki za kisiasa sasa unaonekana ni upumbavu....
Huu uzi unasema hivi " CCBRT ni ya Nani?"

Watu wanajibu ni ya Dr.Slaa.

Mimi nakataa nasema hivi.

Founder and Director ni Richard Moore.

Wewe unaleta tena habari huyu ni mtanzania.
 
Sijui kwa nini CCBRT waweze kusafirisha wagonjwa wa fistula toka kote tanzania na kutibu bure lakini serikali inashindwa japo kutibu kikohozi bure

na ukiweza kufika CCBRT hata kama unatoka kijiji gani utaridishiwa gharama za nauli na wameweka simu za bure.
ukitataka kumsifia @dr .w.slaa kama kiongozi wa chadema utakuwa unawaudhi sana ccm hasa MSALANI choo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu akuna aliyekataa soma kichwa cha habari cha huu uzi kinasema hivi "CCBRT ni ya Nani?" tupe jibu mkuu.
 
Habari wana JF..
Naomba kujuzwa kupitia Jamvi letu,Mmiliki au Mwanzilishi wa CCBRT ni nani!? Kwani ni taasisi pekee inayotoa huduma mzuri na kwa gharama nafuu mno kuendana na hali halisi ya Mtamzania..
Naomba kwa anayefahamu anijuze!!
Huduma za CCBRT zinakua nafuu kutoka wanapata michango mingi kutoka wa wafadhili mbalimbali kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi, tanzanzia karibia mabenki yote makampuni ya simu wanapeleka pale michango yao.
 
Mkuu Edward, Msalani ni ID inayotumika na kundi la watu wenye nia mbaya sana na nchi hii! daima wapo hapa kuitetea CCM kwa hoja dhaifu na mitusi tu!
 
Mkuu Edward, Msalani ni ID inayotumika na kundi la watu wenye nia mbaya sana na nchi hii! daima wapo hapa kuitetea CCM kwa hoja dhaifu na mitusi tu!

Kabisa... Hii mijitu ndio chanzo cha Nta kwenye akili ....
 
Mkuu Edward, Msalani ni ID inayotumika na kundi la watu wenye nia mbaya sana na nchi hii! daima wapo hapa kuitetea CCM kwa hoja dhaifu na mitusi tu!

Kumbe Msalani ni ID ya JESHI MAALUM ! tunakushukuru sana kamanda kwa kututonya .
 

Toa Pendekezo lako hapa,nani anastahili?
 
Huduma za CCBRT zinakua nafuu kutoka wanapata michango mingi kutoka wa wafadhili mbalimbali kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi, tanzanzia karibia mabenki yote makampuni ya simu wanapeleka pale michango yao.

Ongezeko la Michango nikielezo tosha kua Taasisi hiyo inatumia Pesa vizuri zitokazo kwa wahisani
.. Swali Mradi wa Tasaf umesimamiwa Vyema!?
 
Mkuu akuna aliyekataa soma kichwa cha habari cha huu uzi kinasema hivi "CCBRT ni ya Nani?" tupe jibu mkuu.

Uko Sahihi
. Hawa jamaa ma CCM sijui kwanini wanataka kupotisha Jamii.. ndio maana wanatuaminisha Karume ndiye alipigana na wanamsahau Okele!!
 
Acha uongo wako, hiyo si ingekua headline kwenye kampeni zake

Kaka, Dr Slaa ana mazuri mengi aliyoyafanya kwa Tanzania hii, ukiwa karibu nae na kuongea nae utashangaa

Dr Slaa sio mtu wa makuu kama unavyofikiria kwamba kwenye majukwaa aanze kuelezea amefanya hili amefanya lile,

Hana lugha ya kilaghai kama walizonazo maccm wanaomsifia magufuli kwa barabara wakati foleni ni tatizo Dar Es Salaam
 

Hata mimi Nashangaa huyu Jamaa DR.Slaa ni mtu wa Pekee kabisa!
 
Huu uzi unasema hivi " CCBRT ni ya Nani?"

Watu wanajibu ni ya Dr.Slaa.

Mimi nakataa nasema hivi.

Founder and Director ni Richard Moore.

Wewe unaleta tena habari huyu ni mtanzania.

Mkuu, hii sentensi ukiitafsiri ndo inaleta maana uliyoandika hapa??

history of CCBRT

1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert Vanneste founded CCBRT. Their mission was to contribute towards poverty alleviation by making rehabilitative services accessible and affordable to people with disabilities. In 1994, CCBRT was registered as a private Non-Governmental Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian Societies Act, No SO8261.
 

Sijui kama atarudi huyo Buku7
 
CCBRT iliingia Tanzania kwa jitihada za Dr. Wilbroad P. Slaa, wakati akiwa mlezi wa chama cha walemavu Tanzania. Lazima apewe sifa yake hata kama hatumpendi. Am not his fan, lakini huo ndo ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…