kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
- Thread starter
- #21
Ungeweka chuki pembeni ungeujua ukweli.Ni kweli kabisa muanzilishi au muasisi wa CBRT ni Dr.W.Slaa.Pole lakini ndiyo ukweli.Anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu lakini ana mema yake pia kama binadamu.Chukua mazuri acha mabaya.Msifie pale anapotenda zuri,mshauri anapopotoka.
Chuki mbaya saana!!