CCBRT iliingia Tanzania kwa jitihada za Dr. Wilbroad P. Slaa, wakati akiwa mlezi wa chama cha walemavu Tanzania. Lazima apewe sifa yake hata kama hatumpendi. Am not his fan, lakini huo ndo ukweli.
Prof. mwandosya was good ila sasa kwa hali aliyonayo ya homa sidhani. salim ahmed salim is good too, ila umri naona unamtupa mkono.Toa Pendekezo lako hapa,nani anastahili?
Prof. mwandosya was good ila sasa kwa hali aliyonayo ya homa sidhani. salim ahmed salim is good too, ila umri naona unamtupa mkono.
lowassa somehow lakini mwizi, Sitta is fitting however ni mtu wa kuhamaki, Membe can make it ila sio mzuri sana kwenye kuongea kwake. Migiro inawezekana but you can not predict kwani namuonaga yupo kimya sana
Labda mimi.
Huduma za CCBRT zinakua nafuu kutoka wanapata michango mingi kutoka wa wafadhili mbalimbali kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi, tanzanzia karibia mabenki yote makampuni ya simu wanapeleka pale michango yao.
Si hivyo tu ina mkataba na serikali kuchangia mambo kadhaa ikiwamo nusu ya mishahara ya wafanyalkazi lakini huduma zake ni ghali sana
history of CCBRT
1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod
Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert
Vanneste founded CCBRT. Their mission was to
contribute towards poverty alleviation by making
rehabilitative services accessible and affordable
to people with disabilities. In 1994, CCBRT was
registered as a private Non-Governmental
Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian
Societies Act, No SO8261.
SOMA ZAIDI HAPA
Safi sana Dr. Slaa, yaani umefanya mambo makubwa hivi na wala hujidai?? Ingekuwa wengine wangetumia hii kama njia yao ya kampeni. Keep it up our president