CCBRT ni ya Nani?

CCBRT ni ya Nani?

kula kwa tindo

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
1,330
Reaction score
324
Habari wana JF..
Naomba kujuzwa kupitia Jamvi letu,Mmiliki au Mwanzilishi wa CCBRT ni nani!? Kwani ni taasisi pekee inayotoa huduma mzuri na kwa gharama nafuu mno kuendana na hali halisi ya Mtamzania..
Naomba kwa anayefahamu anijuze!!
 
Namsubiri jinga mmoja aliyevurugwa aje aseme ya Ridhiwani hahahahaha
 
history of CCBRT
1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod
Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert
Vanneste founded CCBRT. Their mission was to
contribute towards poverty alleviation by making
rehabilitative services accessible and affordable
to people with disabilities. In 1994, CCBRT was
registered as a private Non-Governmental
Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian
Societies Act, No SO8261.

SOMA ZAIDI HAPA
 
Dr.Slaa sio Muasisi wa CCBRT.

Mkuu, kwanini unaamka asubuhi na kuwai kwenye mitandao ya kijamii kwa nia moja tu "kupinga ukweli"?

Na kwakufanya hii kazi nini hasa unafaidika maana upo hapa jf asubui mpaka giza linaingia na kazi yako ni kukera watu na kuwakatisha tamaa wapenda mabadiliko.
 
history of CCBRT
1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod
Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert
Vanneste founded CCBRT. Their mission was to
contribute towards poverty alleviation by making
rehabilitative services accessible and affordable
to people with disabilities. In 1994, CCBRT was
registered as a private Non-Governmental
Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian
Societies Act, No SO8261.

SOMA ZAIDI HAPA

Hongera DR.Slaa..
Unastahili kuitwa Mtanzania Mzalendo!!
 
history of CCBRT
1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod
Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert
Vanneste founded CCBRT. Their mission was to
contribute towards poverty alleviation by making
rehabilitative services accessible and affordable
to people with disabilities. In 1994, CCBRT was
registered as a private Non-Governmental
Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian
Societies Act, No SO8261.

SOMA ZAIDI HAPA

Safi sana kamanda, Hakuna sababu ya watanzania kukata tamaa kwani wazalendo wapo na watetezi wapo japo ni wachache hivyo hatuna budi kuzitumia hizo tunu chache katika kuliko mboa taifa letu.
 
history of CCBRT
1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod
Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert
Vanneste founded CCBRT. Their mission was to
contribute towards poverty alleviation by making
rehabilitative services accessible and affordable
to people with disabilities. In 1994, CCBRT was
registered as a private Non-Governmental
Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian
Societies Act, No SO8261.

SOMA ZAIDI HAPA

nakala ya post hii imfikie ndugu Msalani popote alipo .
 
Dr.Slaa sio Muasisi wa CCBRT.

Ungeweka chuki pembeni ungeujua ukweli.Ni kweli kabisa muanzilishi au muasisi wa CBRT ni Dr.W.Slaa.Pole lakini ndiyo ukweli.Anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu lakini ana mema yake pia kama binadamu.Chukua mazuri acha mabaya.Msifie pale anapotenda zuri,mshauri anapopotoka.
 
Back
Top Bottom