Cbe kuanzisha kozi za urubani

Cbe kuanzisha kozi za urubani

kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha cbe kampasi ya dsm kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.
ndugu umechanganya madawa ,ni chuo cha nit bwana.
 
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.

Sitakuja kupanda ndege inayorushwa na rubani aliyesoma CBE, i swear..
 
Kuna kitu hakija kaa awa. CBE ni College of Business Education na sidhani Urubani unawekwa kundi hilo. Nimesoma NIT wana anzisha hiyo programu na utaona u-pilot unakwenda sawa na mandate ya NIT. Hivyo mkuu hebu check tena na source yako. Sioni NACTE wakipitisha programu kam hiyo.

Mkuu Masiya kuna PM nimekutumia naomba uiangalie..kuna mambo naomba ufafanuzi kuhusu NIT

 
Yyeah, huyu lazima alimaanisha wanataka kutoa cozi ya wahudumu (attendant) amejichanganya tu la sivyo hajui maana ya marubani na wahudumu kwenye ndege, yeye anajua kila aliye kwenye ndege ni rubani.. Dah, wabongo bwana

and hope you must be having ka-degree ka uhasibu ka kununua cbe. taratiiibu unataka tukujue na wewe umo
 
Yyeah, huyu lazima alimaanisha wanataka kutoa cozi ya wahudumu (attendant) amejichanganya tu la sivyo hajui maana ya marubani na wahudumu kwenye ndege, yeye anajua kila aliye kwenye ndege ni rubani.. Dah, wabongo bwana

and hope you must be having ka-degree ka uhasibu ka kununua cbe. taratiiibu unataka tukujue na wewe umo.
 
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.
Good news hatuna haha ya kwenda Ulaya na South. Mambo yote hapahapa
 
Campus ya mwanza degree imewashinda kuanzisha mwaka wa sita huu sasa tangu ilipoanzishwa kisa hawana majengo hata ya kukod yamewashinda wamekalia vi certificate & diploma muda wote ndo useme eti waanzishe koz za uruban mbona majanga! imekushinda biashara ya rejareja ya jumla utaiweza???
Acha kudanganya watu chuo cha cbe Tawi la mwanza wanatoa bachelor hizi
1.bachelor ya procurement
2.bachelor ya business administration
3.bachelor ya marketing
4.bachelor ya account
5.bachelor of business administration with education
Kwa level za 4 na 5 inaongezeka IT(INFORMATION TECHNOLOGY)
 
Back
Top Bottom