Cbe kuanzisha kozi za urubani

Cbe kuanzisha kozi za urubani

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,802
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.
 
Fiksi zipi tena ndugu? kipi cha ajabu hapo URUBANI au u-CBE? ulitaka chuo chenu cha MAGOGONI ndo kiwe cha kwanza kutoa kozi ya URUBANI? safari hii CHUO PENDWA CBE ndo kimeshika hatamu.
 
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.

Source tafadhali..
 
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.

Campus ya mwanza degree imewashinda kuanzisha mwaka wa sita huu sasa tangu ilipoanzishwa kisa hawana majengo hata ya kukod yamewashinda wamekalia vi certificate & diploma muda wote ndo useme eti waanzishe koz za uruban mbona majanga! imekushinda biashara ya rejareja ya jumla utaiweza???
 
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.

Wana ndege ngapi mpaka sasa? Au watatumie ndege za kwenye PS3 kufundishia?
 
Mmh CBE mna mambo! Mara mnataka kuanzisha PhD mara urubani sasa na vile mnauza mitihan si ndio itakuwa hatari na hao maruban huko angani. Nyie endeleen kutoa wahasibu feki wa kwenda kufanya kazi halmashauri. Uruban waachien wenye akili za ziada
 
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.

wewe umekurupuka!
 
ninachoelewa NIT ndio wapo mbioni kuanzisha kozi ya aviation technology, haya ya cbe kwangu ni mapya
 
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.

Hivi CBE wanayo "flight simulator"?
 
cbe na urubani. mbona havifanani kabisa chuo cha biashara kutoa marubani hii itakuwa ya kwanza duniani.
 
kozi za urubani ziko chuo cha taifa cha usafirishaji.. hapo kwa cbe utakuwa unapotosha uma tu!
 
mwandishi alitaka andika NIT,kakosea button!
 
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.

Kuna kitu hakija kaa awa. CBE ni College of Business Education na sidhani Urubani unawekwa kundi hilo. Nimesoma NIT wana anzisha hiyo programu na utaona u-pilot unakwenda sawa na mandate ya NIT. Hivyo mkuu hebu check tena na source yako. Sioni NACTE wakipitisha programu kam hiyo.
 
Back
Top Bottom