Catherine Ruge atema Cheche Bungeni tangu achaguliwe

Catherine Ruge atema Cheche Bungeni tangu achaguliwe

Mkuu
Serikali imetenga milioni 850 anasema hazitoshi ok sio kesi atuambie huko mugumu huwa wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwaka kama kodi zinazoingia TRA? Anaposema ni ndogo atutajie Na wao huwa wanaingiza ngapi? Au anataka maeneo mengine inayokamuliwa sana Na TRA waendelee kukamuliwa ili wachangie watu wa mugumu ambao mchango wao TRA ni mdogo?
Mwema kweli ni mpenzi wa Mungu Tanzania ni tajiri sana ina mkaa
Dhahabu almasi ,gasi, hatuna haja ya kuomba omba
 
Serikali imetenga milioni 850 anasema hazitoshi ok sio kesi atuambie huko mugumu huwa wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwaka kama kodi zinazoingia TRA? Anaposema ni ndogo atutajie Na wao huwa wanaingiza ngapi? Au anataka maeneo mengine inayokamuliwa sana Na TRA waendelee kukamuliwa ili wachangie watu wa mugumu ambao mchango wao TRA ni mdogo?
wewe kuku unajua Mbuga ya Serengeti iko wapi na inaingiza pesa ngapi serikalini
 
Back
Top Bottom