Catalan independence today; A lesson to Zanzibaris

Catalan independence today; A lesson to Zanzibaris

Muda mchache uliopita bunge la Hispania limepiga kura na kuruhusu kutumia kifungu cha 155 cha katiba yao kinachomruhusu waziri mkuu wao kuweka utawala wake wote ndani ya Catalunia. Hii inamaana mpaka sasa Catalunia siyo huru na viongozi wake hawatakuwa na nguvu kisheria, kiuchumi na kwa vyombo vya usalama.
59b9269eb4842d59ac31c734b4eb173d.jpg

8fd8bf3c3e08ebbaa69d5683c8200c28.jpg

Source :RT news
Mleta post tambua kwamba Catalunia bado wanasafari ndefu siyo rahisi kama ulivyoeleza
 
Ulaya ya Magharibi hua wanafurahi sana na hata kutoa support kwa nchi za Ulaya ya Mashariki zinazotaka kujitenga, mfano ni zile zilizokua katika USSR ya zamani na kulaani juhudi zozote za kisiasa, kidiplomasia na kijeshi za kuzuia kujitenga huko. Lakini hilo likitokea kwao Ulaya Ya Magharibi basi watapiga kelele na kulalamika Dunia nzima iione nchi inayotaka kujitenga kama ni kituko
 
Wa Zbar wakijielewa na kujitambua watafikia huko....ila kwa sasa bado kidogoooo ufahamu haupooo.....acha tuwatawale kwanza
 
Muda mchache uliopita bunge la Hispania limepiga kura na kuruhusu kutumia kifungu cha 155 cha katiba yao kinachomruhusu waziri mkuu wao kuweka utawala wake wote ndani ya Catalunia. Hii inamaana mpaka sasa Catalunia siyo huru na viongozi wake hawatakuwa na nguvu kisheria, kiuchumi na kwa vyombo vya usalama.
59b9269eb4842d59ac31c734b4eb173d.jpg

8fd8bf3c3e08ebbaa69d5683c8200c28.jpg

Source :RT news
Mleta post tambua kwamba Catalunia bado wanasafari ndefu siyo rahisi kama ulivyoeleza

Yeah, najua lakini wamejaribu kuliko kunung’unika pembeni.
 
'Easier said than done'..



Na circumstances zinatofautiana baina ya Zanzibar & Catalan
 
Kumbe wazanzibari tunafaidika na muungano, nlikuwa sina hii habari ndo kwanza nisikie leo.Hebu tupasheni hizo faida zilizopo 😱
 
Huwezi kumuongoza muislam kwa demokrasia huko ni mkono wa Chuma ndio unafaa Zanzibar hatutaki demokrasia hao waliolazimisha demokrasia Libya,Afghanistan na Iraq wameipata? To he'll na demokrasia yenu
 
Huu mfano wa kulinganisha watu na wanyama hauendani kabisa!! wanyama na wanyama na watu na watu! Tanzania/zanzibar mmmh kuna watu kweli?
 
Unapotaja muungano, CHADEMA TANGANYIKA minus Lissu wote wanakuwa CCM.
 
My land!or No land!! Zenj wakijaribu kutuchomoka tutatangaza rasmi kuwa eneo hilo litatumika kama sehemu ya kujaribia makombora yetu ya zamani ili tuone kama bado yanafanya kazi!
Itakuwa kama ile vita ya Afghanistan na Russia! Russia with all its mighty power, alikimbia.

Having said that, Muungano is the best thing for.Zanzibari's that has ever happened to their island nation.
 
Zanzibar ukianza kama Catalunya itakuwa usaliti. Serikali ya mkoa ya Catalunya itakamatwa kama was alto Kwa sababu imeamua kupuuza na kuvunja Katiba WA nchi ya spain na kutokuheshimu bunge la mkoa wala amri za Mahakama. Hakuna nchi ya umoja WA ulaya au WA ulimwengu zitakubali Catalunya nchi huru. Pengine Venezuela au Korea Kaskazini. Viongozi wa mkoa na Wabunge waliopiga kura kuendelea na jambo kama hilo watamaliza jela si chini ya miaka 30. Haya fikiria Zanzibar ingekuwaje.
 
Kule wamestaarabika. Zanzibar wakiwafuata kutakuwa na makaburi ya halaiki!
hata Znz inawezekana shida ni kuwa znz ccm itataka wabaki na znz cuf itataka kujitenga
mwishowe wata JECHuA matokeo tu!
 
Back
Top Bottom