Nahisi Kwenye Selection Ndiyo Majanga Ya Kufa Mtu!Kuna time Subira inashindwa kabsa kumvuta heri. Hapa Ni swala la application, ngoja tufike kwenye selections uone.
Duuh nina wasiwasi na uhusika wakoJamani guidebook imepotea bado wanaitafuta wavumilieni tu.
mh niliambiwa kua uyaone hakika now nimeanza kuyaona[emoji22]
Ni hatari sana mkuu wapo busy wanaiandika upyaaa
Naona TCU & CAS viko Bize Kinoma Hvi! inaonesha Kunadalili za Mambo Kuwa Mazuri Kwani TCU na NACTE kila wanapotaka Ku-Update Jambo basi Hupotea Kwa Muda
Nakumbuka last year nilisubiri selection mpaka nikatubu. Mpaka selection inakuja kutoka ni 27 October.
#HuuMchezoHauitajiHasira
Kweli itakuwa sio kujadiliana, ni kubishana mwanzo mwisho. Yule mama ndalichako elimu anaipeleka pabaya Lazima akae na watendaji wenzake waafikiane asiwe ataki kushauriwa
Kidogo huwa niyamdaa gani mkuu!!?Poleni sana sio kwamba hatusikii kilio chenu hapana ila tunaomba tuvumiliane kidogo mambo yatakuwa sawa
Wa_upload hata iliyoandikwa kwa mkono
Tumuombe Mungu atupe uvumilivuSasa mwaka huu kwa jinsi mambo yanavyo scratch from the beginning, hakika tutaanza chuo siku ya MEI MOSI ijayo hahahaaaaa
We rubiiii weeee karbu mkubwa na wanae *2 majibu yko wewwNi hatari sana mkuu wapo busy wanaiandika upyaaa