Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,906
- 4,530
Ebu vuteni subira kidogo bando limetuishia ndo tupo tunajadiliana na ttcl watukopeshe
Generation T, solved.
Ebu vuteni subira kidogo bando limetuishia ndo tupo tunajadiliana na ttcl watukopeshe
Wapo kwenye mipango ya kuhamia domNaona TCU & CAS viko Bize Kinoma Hvi! inaonesha Kunadalili za Mambo Kuwa Mazuri Kwani TCU na NACTE kila wanapotaka Ku-Update Jambo basi Hupotea Kwa Muda
Kuna uwezekano mkubwa maombi yakaendelea kupokelewa nacte..
Stay tuned
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure
Hahahahah nalo nenoNgoja nivumilie mie labda itashuka hii GPA
3.5CAS will be opened for applicants with diploma qualifications on 8th August 2016. Thank you.
Haya wale vijana wa Diploma naona bado mnawekwa kizungumkuti, tarehe iliyotajwa na TCU imepita bila chochote.
Majadiliano bado yanaendelea, nadhan mpaka tarehe 12 august (tetesi)
Poleni sana.
cc Mama Ndalichako
Naona TCU & CAS viko Bize Kinoma Hvi! inaonesha Kunadalili za Mambo Kuwa Mazuri Kwani TCU na NACTE kila wanapotaka Ku-Update Jambo basi Hupotea Kwa Muda
Isije ikawa wanataka kupiga kalenda tena kwani previously ilikua hivi hivi.Naona TCU & CAS viko Bize Kinoma Hvi! inaonesha Kunadalili za Mambo Kuwa Mazuri Kwani TCU na NACTE kila wanapotaka Ku-Update Jambo basi Hupotea Kwa Muda