Akaishia kwenda jelaHaha haha.
Hiyo story ni mutamu, moderator bonyeza replayAkaishia kwenda jela
Syrians were hiding and keeping Carlos for their own advantage....as you know it was cold warHiyo story ni mutamu, moderator bonyeza replay
hahaaaaaahaaa!Hao ni vijana wa CCM
Sasa wewe ulitaka asiwoeKumbe huyu jamaa bado anaishi, nilidhani walimuua,
Kwanini hakuhukumiwa kuuwawa? Hapa ndo sheria inaponichanganya.
Alafu eti kamuoa mwanasheria wake, for what? Wazungu hamnazo.
Inasemekana hivyoKwa hiyo huyu jamaa bado yupo hai?