Carina si ya 1998 inauzwa haraka.

Carina si ya 1998 inauzwa haraka.

benbry

Senior Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
183
Reaction score
55
Gari imesajiliwa mwezi wa tisa mwaka huu,
No T....CNV, ina km 86,0000. Rangi ya silver.
Airbag 2, Mziki, kama kawaida AC za carina mnzijua ni full kuganda, ina engine ya 7A.
Bei ni rahisi kabisa tsh 7.8 milion, maongezi yapo.
Sababu ya kuiuza: muuzaji anahitaji ela haraka ana matatizo.
Picha ntaziweka hivi punde.
Gari ipo maeneo ya ubungo hostel kwa anayetaka kuiona.
Karibuni.
 
Milion 6 kamili ninayo... nipo ubungo pia.
Sema properties nyingine kama ni manual au auto, engine yake ni cc ngapi?
 
Gari imesajiliwa mwezi wa tisa mwaka huu,
No T....CNV, ina km 86,0000. Rangi ya silver.
Airbag 2, Mziki, kama kawaida AC za carina mnzijua ni full kuganda, ina engine ya 7A.
Bei ni rahisi kabisa tsh 7.8 milion, maongezi yapo.
Sababu ya kuiuza: muuzaji anahitaji ela haraka ana matatizo.
Picha ntaziweka hivi punde.
Gari ipo maeneo ya ubungo hostel kwa anayetaka kuiona.
Karibuni.

Automatic
Cc 1760
0713322856
 
Gari imesajiliwa mwezi wa tisa mwaka huu,
No T....CNV, ina km 86,0000. Rangi ya silver.
Airbag 2, Mziki, kama kawaida AC za carina mnzijua ni full kuganda, ina engine ya 7A.
Bei ni rahisi kabisa tsh 7.8 milion, maongezi yapo.
Sababu ya kuiuza: muuzaji anahitaji ela haraka ana matatizo.
Picha ntaziweka hivi punde.
Gari ipo maeneo ya ubungo hostel kwa anayetaka kuiona.
Karibuni.
Makundison njoo ujaribu hili deal hapa linaweza kukufaa koz hii ni sawa na ile uliyokuwa unaitaka na bei iko mwake na mileage iko poa sana.
 
Last edited by a moderator:
isije kuwa zile zinazotafutwa na Mhe. Kova
 
Gari imesajiliwa mwezi wa tisa mwaka huu,
No T....CNV, ina km 86,0000. Rangi ya silver.
Airbag 2, Mziki, kama kawaida AC za carina mnzijua ni full kuganda, ina engine ya 7A.
Bei ni rahisi kabisa tsh 7.8 milion, maongezi yapo.
Sababu ya kuiuza: muuzaji anahitaji ela haraka ana matatizo.
Picha ntaziweka hivi punde.
Gari ipo maeneo ya ubungo hostel kwa anayetaka kuiona.
Karibuni.

Nina 6.7 niko arusha,..kama vip nimtume mtu kuicheck then tumalizane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom