Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,634
Equity hawana makato ya online purchase, hawana gharama za kila mwezi kuendesha akaunti, hakuna kiwango cha lazima kubaki kwenye akaunti.Makato yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Equity hawana makato ya online purchase, hawana gharama za kila mwezi kuendesha akaunti, hakuna kiwango cha lazima kubaki kwenye akaunti.Makato yao?
Makato yao?
Inategemea na supllier wapo wanaokunali paypall na wapo wanaotaka ulipe kwa kadi moja kwa mojaWatakuwa wamerekebisha mkuu,manake mimi ile system ya aliexpress iliniambia niweke namba za kadi yangu ya benki tu ambayo ni mastercard au visa,nikaiweka,baada ya system kuiverify nikabofya 'buy now' hela ikakatwa kwenye akaunti yangu na mchezo ndio ukaishia hapo
Mkuu una link vipi MPESA mastercard na paypal? coz mimi inagoma inaandika kuwa inaruhusu kulink na Mpesa ya kenyaCRDB both master and visa cards,Mpesa master card na bank ABC hizi zote azisumbui PayPal kikubwa ziwe na balance ya kutosha.mimi zote hizi natumia na azinisumbui
unatengeneza Tanzania mpesa master card kwanza.kisha unailink na paypal.Mkuu una link vipi MPESA mastercard na paypal? coz mimi inagoma inaandika kuwa inaruhusu kulink na Mpesa ya kenya
Unaweza kupokea pesa kwa Mpesa master card?CRDB both master and visa cards,Mpesa master card na bank ABC hizi zote azisumbui PayPal kikubwa ziwe na balance ya kutosha.mimi zote hizi natumia na azinisumbui
Kuhusu kupokea pesa (TZ) sahau.Unaweza kupokea pesa kwa Mpesa master card?
Mkuu master card ya vodacom inafaa kulink na pay pal? Msaada plsHakikisha ina balance. Mimi M-pesa Master Card iliwahi kunisumbua hivyo hivyo kumbe tatizo ilikuwa ni balance tu. Pia hakikisha mastercard yako haija expire, na uweke namba kwa makini
nimefanya yote hayo mkuu ila inagoma kulink na Mpesa mastercard ya TZunatengeneza Tanzania mpesa master card kwanza.kisha unailink na paypal.
Hakikisha mastercard ina balance, hamisha balance hata 10,000 kutoka kwenye M-Pesa kwenda kwenye M-Pesa mastercard then ndio ulink . mimi kwangu inapiga kazi nimewahi kufanya malipo zaid ya mara 3 na ipo poawMkuu master card ya vodacom inafaa kulink na pay pal? Msaada pls
^nimefanya yote hayo mkuu ila inagoma kulink na Mpesa mastercard ya TZ
vip kuhusu kupokea pesa mkuu kutoka paypalunatengeneza Tanzania mpesa master card kwanza.kisha unailink na paypal.
CRDB wanazingua kama unataka kutumia card moja kwa moja lakini kui-link na Paypal wala sio issue kabisa!Mkuu kuhusu crdb sahau kabisaaa.
Jamaa kwenye hizo mambo ni wababaishaji wa kutupwa.yalisha nikutaa
Sent using Jamii Forums mobile app
OK mkuuHakikisha mastercard ina balance, hamisha balance hata 10,000 kutoka kwenye M-Pesa kwenda kwenye M-Pesa mastercard then ndio ulink . mimi kwangu inapiga kazi nimewahi kufanya malipo zaid ya mara 3 na ipo poaw
Sio lazima.Lazima mkuu Paypal ina tumika sehemu nyingi sana mkuu and is the safiest means of online transactions
CRDB both master and visa cards,Mpesa master card na bank ABC hizi zote azisumbui PayPal kikubwa ziwe na balance ya kutosha.mimi zote hizi natumia na azinisumbui
Kuna member aliwahi kuniambia kuwa inatakiwa walau iwe na balance ya 10,000/=Hii M-PESA MasterCard mbn kwangu inakataa Ku link na paypal au inatakiwa iwe na kiasi fulani ndo ikubali?
Mkuu, naomba steps za ku link baada ya kuweka hela kwenye mastercard.Hakikisha mastercard ina balance, hamisha balance hata 10,000 kutoka kwenye M-Pesa kwenda kwenye M-Pesa mastercard then ndio ulink . mimi kwangu inapiga kazi nimewahi kufanya malipo zaid ya mara 3 na ipo poaw