Hongera sana Mkuu umepandana hasa kwa uchumi wetu huu si haba.Habari Wana JF.
Mimi nikijana wa miaka 23 nilipambana kutafta mtaji na Sasa nimepata million nne
My plan nikufungua car wash ndogo.
Mkoa niliopo nimefanya uchunguzi wa pressure washer machine nimekutana na wanaotumia za LUTIAN na EASY POWER nimekuja mbele yenu wakubwa naombeni mnishauri kati ya hizi mashine ipi nikampuni Bora ππ
Naendelea ila nataka nifungue goli sababu kazi nayo Fanya ni day worker nakufukuzwa kazi nimdawowoteSafi sana janja.
Endelea kufanya hio kazi iliyokupa 4M.
Kitu ninachohitaji katika hizi mashine niambayo haiharibiki hovyoCheck na easypower ziko durable compared no lutian. Make sure inaanzia na 2000PSI. Kila la heri mpambanaji.
Pongez kwa uthubutHabari Wana JF.
Mimi nikijana wa miaka 23 nilipambana kutafta mtaji na Sasa nimepata million nne
My plan nikufungua car wash ndogo.
Mkoa niliopo nimefanya uchunguzi wa pressure washer machine nimekutana na wanaotumia za LUTIAN na EASY POWER nimekuja mbele yenu wakubwa naombeni mnishauri kati ya hizi mashine ipi nikampuni Bora ππ
KWa mtaji wangu unatoshaPongez kwa uthubut
Umesem unatak uifanye kwa udogo unaitaka iwe kwako kama biashara uwe unapata chochte kit au uanze kidogo ukitegemea ije iwe investment kubwa miaka 5 mbele hv.
Uta charge shingap kuosha, usije ukawa unaweka pesa nying wakati Return On investment inachukua muda mrefu kurudi na wewe unategemea pesa ya chap kuendesha maisha yko
Mchawi location ndo kila kitu.
kama fedha yote ulionayo ni 4M angalia running cost ya kuendesha biashara pesa yte isiishie kutengenez ofisi. Kuna kulipa vjana mishahar, posho, kodi, TRA
Biashar ua inaitaj ww uwepo usimamie ukimuachia mtu asimamie utegemee kupigwa au ufunge cctv kupunguz upigaj
Cjui uko mkoa gan. Kun sehem dasilamu naskia wat w mazingir wanasehem utengenez miferej usimwag maj y oil mtaron, cjui oil filter
Cjajua ulifikiaje maamuz ukaamua biashar y carwash n umejipangje uifanye kwa udogo ila naona icho kipunga n kidogo. Kama n kuvuta bomba na pressure pump vijana waoshe gari na pikpik upate chchte kitu. basi fedha inatosha
Na shida ya hizi mashine ukishaifungua tu ni tatzo. Kama hutoisimamia mwenyewe sikushauri ufungue carwashKitu ninachohitaji katika hizi mashine niambayo haiharibiki hovyo