Tatizo la nchi hii hata ununue bidhaa yoyote ambayo kila siku unaileta na inaletwa na wengine bado bei halisi ya kuilipia haijulikani, mifumo mibovu ya ulipaji kodi.
Hapa Tz kuna Ti mwaka kama wako nyingi mno lkn kila ambaye aliagiza ukimuuliza atakwambia bei tofauti tofauti aliyolipia.
Ni majanga subir ifike uuliwe, hapo ya mwaka 98 engine wanaambiwa kuna fain kwakua umepitiwa na mwaka ambao unatakiwa ulete gari yako 2002.
Cha ajabu zaid utakacho kutana nacho mzoefu wa kutowa magari pale bandarini anatowa kwa nusu ya gharama uyakayopewa ww ulieanza na Ki Ti kako kamoja.
Wanajamii,
Wiki chache zilizopita nilikuja hapa kuomba mwongozo wenu juu ya kupata gari,
nashukuru kwa mwongozo wenu nilipata gari niliyokuwa nimeitaka na iko njiani!
kwa sasa nahitaji kujua costs involved at the port excluding/including TRA taxes, Nimewasilina na maclearing wawili na wamekuwa na opinion tofauti kuhusu port chages, it shocked me kuona hili hili kwani nilijua cost ziko fixed! nikahisi nataka kuibiwa ila sikujua nana anaatemt na pia nikahisi wote hawajui au mmoja wao anajua procedures whingine hajui!
sasa nimekuja hapa kupata mwongozowenu tena wanajamii! gari ni ya mwaka 1998 Carina cc1.5l PLEASE ASSIST
asanteni tena
Wanajamii,
Wiki chache zilizopita nilikuja hapa kuomba mwongozo wenu juu ya kupata gari,
nashukuru kwa mwongozo wenu nilipata gari niliyokuwa nimeitaka na iko njiani!
kwa sasa nahitaji kujua costs involved at the port excluding/including TRA taxes, Nimewasilina na maclearing wawili na wamekuwa na opinion tofauti kuhusu port chages, it shocked me kuona hili hili kwani nilijua cost ziko fixed! nikahisi nataka kuibiwa ila sikujua nana anaatemt na pia nikahisi wote hawajui au mmoja wao anajua procedures whingine hajui!
sasa nimekuja hapa kupata mwongozowenu tena wanajamii! gari ni ya mwaka 1998 Carina 1.5l PLEASE ASSIST
asanteni tena
...Nakushauri kwanza uingie kwenye Mtandao wa TRA upate idea ya KODI unayopashwa kulipa, na nini unatakiwa ufanye:
*The Import Regulation
Shipping Destination ports
Dar es salaam
*Age restriction
10 years old from the year of manufacture and not first registration.
*For this year cars manufactured from 2003 onwards
Older cars up to 30% of CIF value of damping fees is added to the duty.
==
*Road worthiness Inspection
EEA and JAAI inspection is required *(30% of CIF value fine will be charge if not)
===
Import taxes rates "Ya TRA YA MWAKA JANA ILIKUWA HIVI"
"TAX RATES (2012/2013)"
(C.C, Import Duty, Excise duty, Extra Depreciation Duty, VAT)
C.C 0-1000, Import Duty 25%, -%, Excise duty 20%, VAT20%
C.C 1001-2000, Import Duty 25%, 5%, Excise duty 20%, VAT20%
C.C 2001 and above, Import Duty 25%, 10%, Excise duty 20%, VAT20%
Pick ups, Import Duty 15%, 0%, Excise duty 0%, VAT20%
Trucks (trucks for pulling semi-trailers), Import Duty, 0%, 0%, Excise duty 0%, VAT20%
Buses (from 10 passengers), Import Duty, 25%, 0%, Excise duty 0%, VAT20%
Land cruiser Hard tops carrying from 10 passengers, Import Duty, 25%, 0%, Excise duty 0%, VAT20%
Tax calculator if applicable...
Embu ingia ktk website hii utapata kila kitu www.gariyangu.com siku njema
Ameuliza port charges jamani,mwambie agent akipata invoice ndio ukalipe.usimpe kwanza hiyo wanafanya calculations bandari wenyewe na ICD. Mara nyingi kwa TI ni 250,000 mpk 270,000
Tatizo la nchi hii hata ununue bidhaa yoyote ambayo kila siku unaileta na inaletwa na wengine bado bei halisi ya kuilipia haijulikani, mifumo mibovu ya ulipaji kodi.
Hapa Tz kuna Ti mwaka kama wako nyingi mno lkn kila ambaye aliagiza ukimuuliza atakwambia bei tofauti tofauti aliyolipia.
Ni majanga subir ifike uuliwe, hapo ya mwaka 98 engine wanaambiwa kuna fain kwakua umepitiwa na mwaka ambao unatakiwa ulete gari yako 2002.
Cha ajabu zaid utakacho kutana nacho mzoefu wa kutowa magari pale bandarini anatowa kwa nusu ya gharama uyakayopewa ww ulieanza na Ki Ti kako kamoja.
shipping line- It ranges from $80 to $90
port charges - Usd (7xcbm+0.3xcbm+0.016xCIF)
Agency fees (range)- it Ranges from Tzs 150,000 to Tzs 200,000
import fees (Nill)
registration- btn Tzs 330,000 to Tzs 450,000 depending on car type
plate no...ni btn Tzs 34,000 to 38,000.
Hope itakusaidia kidogo mkuu
shipping line- It ranges from $80 to $90
port charges - Usd (7xcbm+0.3xcbm+0.016xCIF)
Agency fees (range)- it Ranges from Tzs 150,000 to Tzs 200,000
import fees (Nill)
registration- btn Tzs 330,000 to Tzs 450,000 depending on car type
plate no...ni btn Tzs 34,000 to 38,000.
Hope itakusaidia kidogo mkuu
shipping line- It ranges from $80 to $90
port charges - Usd (7xcbm+0.3xcbm+0.016xCIF)
Agency fees (range)- it Ranges from Tzs 150,000 to Tzs 200,000
import fees (Nill)
registration- btn Tzs 330,000 to Tzs 450,000 depending on car type
plate no...ni btn Tzs 34,000 to 38,000.
Hope itakusaidia kidogo mkuu
Jamanieee asnate mkuu kwa hili, itanisaidia..
do you have any clue regarding other charges yani mm nanataka chaji zingine tofoauti na Kodi
shipping line
port charges
Agency fees (range)
import fees (if any)
registration
plate no... asante sana
...Nakushauri kwanza uingie kwenye Mtandao wa TRA upate idea ya KODI unayopashwa kulipa, na nini unatakiwa ufanye:
*The Import Regulation
Shipping Destination ports
Dar es salaam
*Age restriction
10 years old from the year of manufacture and not first registration.
*For this year cars manufactured from 2003 onwards
Older cars up to 30% of CIF value of damping fees is added to the duty.
==
*Road worthiness Inspection
EEA and JAAI inspection is required *(30% of CIF value fine will be charge if not)
===
Import taxes rates "Ya TRA YA MWAKA JANA ILIKUWA HIVI"
"TAX RATES (2012/2013)"
(C.C, Import Duty, Excise duty, Extra Depreciation Duty, VAT)
C.C 0-1000, Import Duty 25%, -%, Excise duty 20%, VAT20%
C.C 1001-2000, Import Duty 25%, 5%, Excise duty 20%, VAT20%
C.C 2001 and above, Import Duty 25%, 10%, Excise duty 20%, VAT20%
Pick ups, Import Duty 15%, 0%, Excise duty 0%, VAT20%
Trucks (trucks for pulling semi-trailers), Import Duty, 0%, 0%, Excise duty 0%, VAT20%
Buses (from 10 passengers), Import Duty, 25%, 0%, Excise duty 0%, VAT20%
Land cruiser Hard tops carrying from 10 passengers, Import Duty, 25%, 0%, Excise duty 0%, VAT20%
Tax calculator if applicable...
Supa and thanks! I deed very useful
Kwenye red Mkuu (how do we arive to this mkuu?)
VAT rate ya hapa Tanzania ni 18% iweje wa charge 20% ?? Nadhani hapo umekisea.