Caption Please

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,140
13,215
Nape.jpg

Tafadhali toa maon yako kuhusu picha hii...ya kwangu nalinganisha na hoja ya mahips iliporushwa picha ya Nape na Mnyika
 
sina maoni zaidi ya kumshangaa tu huyo jamaa na dgri zao za kuchonga..!
 
"Hongera mwanangu, japo degree yenyewe ndo ya hivyo hivyo lakini cha msingi ni kwamba umeipata, hao wanaosema sijui ooh ya kupewa au sijui kahonga watajiju, raha jipe mwenyewe mwanangu, hii ndo raha ya kujua kupiga shortcut, unakuwa mwana si hasa halafu degree zinakufata kitandani"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom