Muwaambie CCM waache kutupeleka mistuni na kutuacha huko nusu wafu! Hivi nikuulize swali; je yule mama muuza pombe aliyeuawa kule Ilula kwenye purukushani ya Polisi kusaka watu wanaokunywa pombe saa za kazi ili kumfurahisha mtoto wa mkulima angekuwa mzazi wako ungejisikiaje!? Halafu hiyo pombe saa za kazi kwani walianza kunywa siku ile ya purukushani na msako!? Siku zote mnawatafutiaga pesa ya kula nyie!? Polisi walitumwa na nani!? Walianzisha msako ili kumfurahisha pinda!? Wacheni huo upuuzi wenu!? Wengi tunaumizwa na dhuluma inayofanywa na CCM!
Mkuu!; They shall see the Grory of the Lord > 'Strengthen the weak hands, and make feeble knees. Say to those who are feaful heart, "be Strong, fear not! Behold, your God will come with vengeance, with the recompance of God. He will come and save you. then the eyes of blind shall be opened,and the ears of the deaf unstopped; then shall the lame man leap like a hart, and the tongue of a dump sing for joy." Isa.35:3-6!Wote waliomtolea maneno ya kashfa Mzee Warioba lazima wapukutike
we are all in the same truck, never judge died ones.
Swala hapa sio nani anatenda nini. Kifo cha mtu kinaleta masikitiko makubwa kwa anaowaacha, tunaposhangilia eti kwa kuwa fulani kafa, kwa upande wowote kwa hizi zinazokinzana, hapo ndipo tunapopotoka kwa kukiuka misingi ya utu kama jamii. Hakuna anayemtetea mtu ati kwa kuwa anatoka kwenye chama fulani au kundi fulani.
SUALA HAPA UTU UMEPOTEA MIONGONI MWETU!
Do you think i dont know im going to die any minute!?? Wao ndo walikuwa au hawajui kama kuna kifo ndo mana wanafanyia wanadamu wenzao ubaya
Me myself and i nimeshajiandaa kutoka hapa duniani infact siwez ishi maisha marefu kama haya ambayo nimefikisha.....
Na afeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
if you are aware of that is of important and you have no longer have a right to judge, let God in heaven do that and not you.we are all to be judged everyone for his or her actions.
Mwezi huu magazeti ya udaku yatauza sana
Watoto 11!!!! Hatari aiseee. Hapa lazima yatokee malumbano kwenye mali labda km wapo na wa kusingiziwa.