Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
mkuu umedanganya kidogo sehemu ambapo nyumba yako ilpo japo ni story. upande wa kushoto ukitoka tilapia hotel inafuata yatch club, hapo katikati hakuna nyumba ya makazi. mbele ya yatch club kuna mlima wa mawe na makaburi
Umenichekesha kidogo Mtanzania. Usiniambie unachukulia kuwa simulizi zima ni kweli.