Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,295
- 755
Salam wadau!!
Ninahitaji kununua truck kwa ajili ya kubeba mizigo maeneo ya mjini na wilaya za karibu ambazo kwenda na kurudi haizidi 200kms. Mizigo ninayotarajia kubeba ni tani 4 mpaka 5. Ninaomba ushauri ni gari gani ninunue ambayo haitanisumbua na gharama zake za uendeshaji sio kubwa
Mimi niliwaza MITSUBISHI CANTER
NAOMBENI USHAURI NIKIJE NIKANUNUA KITU AMBACHO SIO SAHIHI
Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninahitaji kununua truck kwa ajili ya kubeba mizigo maeneo ya mjini na wilaya za karibu ambazo kwenda na kurudi haizidi 200kms. Mizigo ninayotarajia kubeba ni tani 4 mpaka 5. Ninaomba ushauri ni gari gani ninunue ambayo haitanisumbua na gharama zake za uendeshaji sio kubwa
Mimi niliwaza MITSUBISHI CANTER
NAOMBENI USHAURI NIKIJE NIKANUNUA KITU AMBACHO SIO SAHIHI
Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app