M mstahiki JF-Expert Member Joined Jul 14, 2007 Posts 308 Reaction score 9 Mar 2, 2010 #1 Meaning...kama kuna matatizo kwenye any elections....kurudia rudia elections?kwa sababu uchaguzi unaghalimu fedha nyingi?
Meaning...kama kuna matatizo kwenye any elections....kurudia rudia elections?kwa sababu uchaguzi unaghalimu fedha nyingi?
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 87,563 Reaction score 152,035 Mar 2, 2010 #2 ukishakubali kwamba uchaguzi ni muhimu, then by-eletions are priceless. Kama unaona kurudia rudia chaguzi ni gharama, basi ondoa chaguzi zote kabisa.
ukishakubali kwamba uchaguzi ni muhimu, then by-eletions are priceless. Kama unaona kurudia rudia chaguzi ni gharama, basi ondoa chaguzi zote kabisa.
annamaria Senior Member Joined Apr 1, 2009 Posts 135 Reaction score 17 Mar 3, 2010 #3 Achaneni na hiyo representative democracy,fanyeni athenian democracy ya kina Plato!!
Waberoya Platinum Member Joined Aug 3, 2008 Posts 15,157 Reaction score 10,828 Mar 3, 2010 #4 annamaria said: Achaneni na hiyo representative democracy,fanyeni athenian democracy ya kina Plato!! Click to expand... Kweli dada ziko nyingi tu tunaweza ku-practise, lakini nani wa kutupeleka huko? Tunadesa kila kitu, yaani system zetu za siasa zisipokuwa sawa na 'western au eastern' basi ni kama vile hatuishi duniani.
annamaria said: Achaneni na hiyo representative democracy,fanyeni athenian democracy ya kina Plato!! Click to expand... Kweli dada ziko nyingi tu tunaweza ku-practise, lakini nani wa kutupeleka huko? Tunadesa kila kitu, yaani system zetu za siasa zisipokuwa sawa na 'western au eastern' basi ni kama vile hatuishi duniani.