Camouflagers na informers

Labda hiyo TISS ya ccm....
na pengine yenye sisitiivii
 
Camouflage na informers wapo wengi sana...

Haswa wengine utawakuta maeneo ambayo kwa hali ya kawaida mtu hawezi kuthubutu kuweka bishara ya kuuza vipipi na karanga eneo hilo...

Ningeyataja hayo maneno ila wacha niake kimya...


Cc: mahondaw
Pale morogoro mjini Kuna kijiwe karibu na stendi ya ice wana shoe shiner kibao na magazeti wanaongea siasa muda wote na wazee wakazi wamo


Shomariiii
 
Siku hizi hawa wachokoza mada wametapakaa kila mahali.yani unakuta baba zima na midevu chekwaa,likisifu vitu vya kijinga kabisa.

Lengo lao hua ni kuamsha tu hisia.usipo wajua unapoteza nguvu/muda mwingi ku jibizana nao.ila wanakera hatarii
 
Mkuu kwenye kutotabirika ni kwa sababu ya miiko au? Maana nasikia hata ndugu yako anaweza kukuruka ukajifia, ni kama watoa kafara eeeee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…