cameraphone bora zaidi duniani

cameraphone bora zaidi duniani

sor hivi hizo huawei p6 zishaingia bongo? #tigo kama kawaida au bado hazijafika?

mkuu ni flagship hio simu. ina hadhi kama s4 au iphone 5 hata bei yake ni kubwa tofauti na kawaida ya huawei around milioni naa so sidhani kama tigo wataibeba
 
sor hivi hizo huawei p6 zishaingia bongo? #tigo kama kawaida au bado hazijafika?

mkuu sina hakika kama bongo zimeingia, ila nimeona ni moja ya simu nzuri sana, na huwei wamejitahidi sana, ukiangalia bei pia siyo mbaya sana. na wana nyingine inaitwa ascend Mate nayo inafanya vizuri kwenye properties zake. Ingawa mkuu chief-mkwawa anaweza leta maelezo ya kitaalam juu ya os zake.
SP
 
mkuu sina hakika kama bongo zimeingia, ila nimeona ni moja ya simu nzuri sana, na huwei wamejitahidi sana, ukiangalia bei pia siyo mbaya sana. na wana nyingine inaitwa ascend Mate nayo inafanya vizuri kwenye properties zake. Ingawa mkuu chief-mkwawa anaweza leta maelezo ya kitaalam juu ya os zake.
SP

mkuu os ni android. ukitoa ascend w1 na w2 smartphone zote zilizobakia za huawei ni android
 
Dah Hii Huawei Imenifurahsha Kitu Ki 1 Tuuuuu!! secondary Cam 5.0 Mp..... hv Kua Smu Yenye Secondary Cam Kama Hiii???
 
Dah Hii Huawei Imenifurahsha Kitu Ki 1 Tuuuuu!! secondary Cam 5.0 Mp..... hv Kua Smu Yenye Secondary Cam Kama Hiii???
halafu utakuta quality mbovuuu, ujue watu washakremu namba zikiwa kubwa basi kitu ni kikali.

camera ya mbele ni kwa ajili ya video call na kujipiga picha za kushare kama fb na social network nyengine 2mp inatosha kabisa.
 
Back
Top Bottom