Wajuzi wa mambo salaam.
Mimi ni mpigapicha mkongwe (nilikuwa nikitumia Camera kubwa aina ya Pentax - ya mikanda) ila ni mgeni katika kutumia DSLR. Nimenunua Nikon D5100 na naomba kujua setting nzuri kwa picha hasa za watu ili kuwatoa na rangi yenye mvuto kwenye ngozi.
Natanguliza shukurani.
Nenda YouTube kisha search: Nikon 5100 na details za lens yako kisha utaona mafunzo mengi tuu ya kutumia hiyo camera..
Ila kwanza nakushauri ujifunze kuhusu DSLR kamera kwa ili uweze kufahamu vitu vingi zaidi.
Kina vifaa vinaita "Light Meter" + "Telemeter" pitia hapa utajifunza zaidi..Photography Stack Exchange
kama sio mpenzi wa mapicha basi ridhika na functions ( Sport, Children, Cloudy, Shadow) zilizopo kwenye kamera tuu..